Rais Magufuli: Mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako ndio mji wenye nyumba na Makazi bora Tanzania

Eti dada zako ni wazuri na wanaolewa kila sehemu,endelea kufurahia kulazwa kwa dada zako
Mzee baba tunawapumulia kisogoni ndo maana mnahema hamuamini.Tuko full control ya uchumi wa mikoa ya Mbeya,iringa,njombe,Rukwa na partly tunashare uchumi wa Ruvuma,Dar,Katavi na Morogoro sio nyie mko localized na scattered Kama wazululaji tu
Acha kutapatapa mkuu kama hizo pesa zinapatikana hivyo na wewe jaribu upate sio kulia lia kisa umepigwa knock out,sitarajii utampenda mshindani wako.Usicheze na watu wa njombe,yr tiny region is getting older and no resources at all wakati sisi ndo kumekucha.Soon barabara nilizokueleva hapo zikikamilika tu njooni muwe vibarua wetu huku
Hahaha ndugu yangu kwahiyo kwako barabara hiz za lami ndio kujivuna? Sisi Kilimanjaro tunazo kabla hata ya Uhuru kule Kilimanjaro ni.kawaida vichochoroni kukuta lami sembuse highway? Kumbe kwenu bado hata hakujakucha?
2_sisi wachaga tumejaa sehemu zote tz Hakuna eneo utamkosa mchaga either kielimu or kibiashara
Jiji la Arusha uchumi 90% umeshikwa na wachaga,mwanza,dar nako tumo mbeya,mpanda kadhalika
Nyie wakinga Ni wanafunz wetu kamwe hamuwez kutupita mnaota ndoto,huko mnakopita tushapita huko zaman Sana hahaha huwa napendaga mlivyo wabishi mkinga anawza hata kubishana na mti
Nimekaa mbeya miaka 9 nawafahamu in and out hampendi kwenu ndio maana wilaya yenu ya makete imechakaa mno hata mkifa mnazkwa mbeya kwa aibu ya kuogopa kuzika makete kubovu
VICHOCHORONI KILIMANJARO LAMI NI JAMBO LA KAWAIDA
1922813619.jpeg
 
Kwahiyo hujui kuwa ukimwi wenu unasababishwa na nyie kutotahiriwa? Hivi una elimu gan bandugu?
Izo zilikuwa ni Mila na haikuwa na umuhimu wa kutahiriwa. Lakini kutokana na ujio wa ukimwi ndio tunatahiriwa . Na sio kwamba kutahiriwa ndio indication ya mnaendeleo. Ukimwi endapo utakuwa kuwa eradicated tutaendelea na Mila zetu za kutotahiriwa . No side effects zaidi kujikinga na ukimwi . Ndio maana nchi nyingi za Ulaya , Asia na American. Kutahiriwa ipo ktk small percentage but Kutahiriwa ipo ktk high percentage in Middle East and Africa countries kutahiriwa ipo ktk high percentage kutokana na Mila na tamaduni. Msikariri na je kukeketa wasichana mmepata faida.
 
Kodtec ni kampuni ya mkinga iliyopo China inayotengeza bidhaa za electronic na kuzisambaza nchi mbalimbali anaitwa Doto Konzo. Sasa ndio uelewe wakinga washafikia . Unajua wachagaa kubalini Zama zimebadilika this is 21 century ni Zama za mkinga. Nenda kwenye maduka kariakoo ukajipatie bidhaa kodtec . View attachment 1076825View attachment 1076826View attachment 1076827View attachment 1076828View attachment 1076829View attachment 1076830View attachment 1076831View attachment 1076833View attachment 1076834View attachment 1076835View attachment 1076836View attachment 1076837
Hahaha mm cjawah sikia hiyo bidhaa ,China mmenda juz wakati cc huko tushapita zaman? Ni Sawa n'a mtu apande gar kwa Mara ya Kwanza atahadithia kijij kizima,huko kote tushapita tupo level zingine ndio maana kilimanjaro tangu enz IPO vizr kiuchumi na kimaendeleo
FB_IMG_15020060897734219.jpeg
 
Kaka nafikiri umashaelewa maana ya kodtec nenda Zambia, Congo, Malawi , Kenya , Uganda, Rwanda, Burundi na nchi nyingi tuu utaziona hizo bidhaa n.k. utaiona
Huyo mkinga wenu ni dalali (agent) w kuuza hizo bidhaa za kampuni hiyo
Hakuna mwafrika anayemiliki kiwanda China usifikiri hatujasafiri hata wewe unaweza kuwa agent wa kuuza bidhaa za makampuni anuai
 
Huyu alikuwa tajiri wa miaka mingi Sana toka miaka ya tisini. Kama alidonoa mahindi angekuwa alishakufa siku nyingi
Hahaha Ila vijihela vyenu 90% ni vya kudonoa ndio maana ni kawaida kukuta mkinga kavaa yebo chafu afu anamiliki duka kuubwa,pia kwenu Makete hamjengi kumechakaa hayo Ni madhara ya hela za kudonoa kwa mwandulami kiufupi Ni utumwa tafuten kwa halali
 
Huyo mkinga wenu ni dalali (agent) w kuuza hizo bidhaa za kampuni hiyo
Hakuna mwafrika anayemiliki kiwanda China usifikiri hatujasafiri hata wewe unaweza kuwa agent wa kuuza bidhaa za makampuni anuai
Huyo mkinga sio dalali hiyo kampuni ni miliki yake alikwendaga kusoma China . Alipograduate ndio watu wa Kwanza Kwanza kuuza bidhaa za Mchina East Africa mfano Hizi electronics equipment. Baada ya mtaji kuwa mkubwa akaanzisha kodtec international company huyo anaitwa Doto Konzo. Kodtec ni kifupi cha cha majina yake. Mpaka sasa maisha yake yapo China. Na taratibu za kuishi China ndugu mpaka ufanye investment.
 
Hahaha mm cjawah sikia hiyo bidhaa ,China mmenda juz wakati cc huko tushapita zaman? Ni Sawa n'a mtu apande gar kwa Mara ya Kwanza atahadithia kijij kizima,huko kote tushapita tupo level zingine ndio maana kilimanjaro tangu enz IPO vizr kiuchumi na kimaendeleoView attachment 1076891
Kama ninyi mlienda China mkarudi mikono mitupu. Wenzenu wakinga wamekwenda China na kufanya investment. Doto konzo anaishi China na taratibu za kuishi China mpaka ufanye heavy investment. Ninyi mlikwenda kipindi cha mwl wakati China ni Maskini wakinga tumekwenda 21 century wakati China ni developed country tukafanya investment.china mlipokuwa mnakwenda wachaga ni totally different na China ya 21century with full of opportunities. Ndio tofauti ya wachaga na wanyanda za juu kusini
 
Hahaha ndugu yangu kwahiyo kwako barabara hiz za lami ndio kujivuna? Sisi Kilimanjaro tunazo kabla hata ya Uhuru kule Kilimanjaro ni.kawaida vichochoroni kukuta lami sembuse highway? Kumbe kwenu bado hata hakujakucha?
2_sisi wachaga tumejaa sehemu zote tz Hakuna eneo utamkosa mchaga either kielimu or kibiashara
Jiji la Arusha uchumi 90% umeshikwa na wachaga,mwanza,dar nako tumo mbeya,mpanda kadhalika
Nyie wakinga Ni wanafunz wetu kamwe hamuwez kutupita mnaota ndoto,huko mnakopita tushapita huko zaman Sana hahaha huwa napendaga mlivyo wabishi mkinga anawza hata kubishana na mti
Nimekaa mbeya miaka 9 nawafahamu in and out hampendi kwenu ndio maana wilaya yenu ya makete imechakaa mno hata mkifa mnazkwa mbeya kwa aibu ya kuogopa kuzika makete kubovu
VICHOCHORONI KILIMANJARO LAMI NI JAMBO LA KAWAIDAView attachment 1076886
Mwanza na Mbeya ya wapi mumeshika uchumi? Kuuza maduka mko kila mahala lakini nimekueleza mikoa tunayoshikilia sisi hapo juu wewe unaleta hadithi
Tunakubaliana kwamba mkoa wenu umezeeka na hauna rasilimali tena tofauti na sie ambao saizi kila sekta ndio kunakucha.Jiografia ya wilaya yetu ni ngumu hakuna asiyependa kwao,mbaya zaidi tulikua hatuna watu wenye ushawishi huko serikalini lakini tangu akina Luhanjo wapigania kupata mkoa saizi mambo ni moto.Highway zote zinajengwa ikiwemo ya makete,ludewa na kwenda Morogoro,hospitali ya mkoa na stendi kubwa karibu zinaisha just to mention few projects,kwa speed hii mtaishia kutulamba unyayo
Hahaha ndugu yangu kwahiyo kwako barabara hiz za lami ndio kujivuna? Sisi Kilimanjaro tunazo kabla hata ya Uhuru kule Kilimanjaro ni.kawaida vichochoroni kukuta lami sembuse highway? Kumbe kwenu bado hata hakujakucha?
2_sisi wachaga tumejaa sehemu zote tz Hakuna eneo utamkosa mchaga either kielimu or kibiashara
Jiji la Arusha uchumi 90% umeshikwa na wachaga,mwanza,dar nako tumo mbeya,mpanda kadhalika
Nyie wakinga Ni wanafunz wetu kamwe hamuwez kutupita mnaota ndoto,huko mnakopita tushapita huko zaman Sana hahaha huwa napendaga mlivyo wabishi mkinga anawza hata kubishana na mti
Nimekaa mbeya miaka 9 nawafahamu in and out hampendi kwenu ndio maana wilaya yenu ya makete imechakaa mno hata mkifa mnazkwa mbeya kwa aibu ya kuogopa kuzika makete kubovu
VICHOCHORONI KILIMANJARO LAMI NI JAMBO LA KAWAIDAView attachment 1076886
Hahaha ndugu yangu kwahiyo kwako barabara hiz za lami ndio kujivuna? Sisi Kilimanjaro tunazo kabla hata ya Uhuru kule Kilimanjaro ni.kawaida vichochoroni kukuta lami sembuse highway? Kumbe kwenu bado hata hakujakucha?
2_sisi wachaga tumejaa sehemu zote tz Hakuna eneo utamkosa mchaga either kielimu or kibiashara
Jiji la Arusha uchumi 90% umeshikwa na wachaga,mwanza,dar nako tumo mbeya,mpanda kadhalika
Nyie wakinga Ni wanafunz wetu kamwe hamuwez kutupita mnaota ndoto,huko mnakopita tushapita huko zaman Sana hahaha huwa napendaga mlivyo wabishi mkinga anawza hata kubishana na mti
Nimekaa mbeya miaka 9 nawafahamu in and out hampendi kwenu ndio maana wilaya yenu ya makete imechakaa mno hata mkifa mnazkwa mbeya kwa aibu ya kuogopa kuzika makete kubovu
VICHOCHORONI KILIMANJARO LAMI NI JAMBO LA KAWAIDAView attachment 1076886
 
Kagera mpo vizuri siku nyingi mno. Sasa shida kuna mchaga anasema eti wamewazidi elimu Wahaya wakati tunajua kuna mpaka maprofessor ulaya na Marekani wa kihaya kabisa
Sie hatunaga shida na makabila mengine kabisa .wakifanya vzr tunawapongeza na wala hatunaga ushindani na kabila lolote lile.
Ila sasa hawa wachaga hawachoki kutuchokonoa na kutaka kujilinganisha na wahaya eti na elimu jamani si dharau hizi kabisa.Juzi Tu wahaya Sita wamekuwa maprofesa.

Anyway njombe na makambako ingawa sijawahi kufika Ila mnajitahidi hata kielimu tunaona
 


Azam TV
Saa 1 ·
WATANZANIA TUNAWEZA: Je? wajua kwamba kampuni ya JIEZHI iliyopo Guangzhou nchini China, inayozalisha bidhaa mbalimbali za kielectroniki aina ya KODTEK inamilikiwa na Mtanzania.
Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki ameitembelea kampuni hiyo na kumpongeza mmiliki wake Japhet Konzo kwa kuzalisha bidhaa mbalimbali zinazoendana na mahitaji ya Tanzania
 
Mkuu tembelea Vunjo Mkoani kilimanjaro ndio utajua maana halisi ya makazi bora ni nini
Wadanganye ambao hawajafika Vunjo

Kilimanjaro Kuna uchafu sana Same na Mwanga kuna uchafu was vijumba

Hata hayo maeneo mengine mnaweka picha za nyumba chache nzuri
 
Kilimanjaro tangu 1980's Hakuna tembe
Kwa makaz ya vijin Kilimanjaro haina mpinzan kule vijin Kilimanjaro kwasasa ukijenga nyumba Bila msauzi unaonekana fala

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimanjaro hii yenye Mwanga isiyo hata na stand na Same ya hovyohovyo
Kaangalie nyumba huko karibu na nyumba ya Mungu

Nenda leo pale njiapanda ya himo upande was kulia uelekeo wa kujia same na Mwanga utaona Nyumba ya matope barabarani kabisa.Hiyo n mifano tu nakupa.Nmezunguka Kilimanjaro wilaya Zote naielewa vzr na nimezunguka Njombe Mkoa wote nmeona Makazi yao yalivyo

Wakifanya Tena assessment ya Makazi kwa sasa NBS watakuja na matokeo tofauti kabisa Njombe itakuja on top
 
Kilimanjaro hii yenye Mwanga isiyo hata na stand na Same ya hovyohovyo
Kaangalie nyumba huko karibu na nyumba ya Mungu

Nenda leo pale njiapanda ya himo upande was kulia uelekeo wa kujia same na Mwanga utaona Nyumba ya matope barabarani kabisa.Hiyo n mifano tu nakupa.Nmezunguka Kilimanjaro wilaya Zote naielewa vzr na nimezunguka Njombe Mkoa wote nmeona Makazi yao yalivyo

Wakifanya Tena assessment ya Makazi kwa sasa NBS watakuja na matokeo tofauti kabisa Njombe itakuja on top
Mkuu unajua maana ya 85%?
Mkoa wa Kilimandjaro makaz ya vijin Ni Bora kwa 85% hakn mkoa wowote wenye kiwango hicho kwasasa
Umezungumzia sijui njia panda ya himo
VP ulifika rombo,hai,siha,Moshi vijijin include kibosho, uru,old Moshi etc?
Mkuu Njombe inanza kujenga Kama sis lkn ukweli n kuwa haiwez kutufkia hata robo
KARIBU KILIMANJARO
496706973.jpeg
1417240508.jpeg
 
Makambako pale kwenye vibanda vya ulanzi na madanguro?

Kwa hiyo Makambako pamejengeka vuzuri kuliko Dodoma na Mwanza?

Acheni utani!

Nitajie mji mmoja tu duniani ambako hakuna hicho unachokiita madanguro
 
Back
Top Bottom