Huyo ni fimbo tu.Mmachinga kajenga kibanda chake,kimekuja kupigwa X na halmashauri na kuandikwa ONDOA KWA AMRI YA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM.
Mmachinga kajibu SIONDOI KWA AMRI RAIS WA TANZANIA, NA NITAENDELEA KUWEPO KWA UWEZO WA MUNGU MWEMA.
View attachment 1721715
Mzee mbona unapanic kishamba sana?Kwahiyo unatakaje!?? watu wengine mnakera mpaka basi
Mzee mbona unapanic kishamba sana?
Yeah! Unajua nyie mliokulia vijijini na mkaja mjini ukubwani na kuanza kushabikia mambo huku akili mmempa mtu awashikie mnakuwa wajinga sanaKwahiyo unataka nipanic kijanja?
Yeah! Unajua nyie mliokulia vijijini na mkaja mjini ukubwani na kuanza kushabikia mambo huku akili mmempa mtu awashikie mnakuwa wajinga sana
aisee Uzi ushaharibika huuKamwambie mama yako,**** wewe
Mbona unanifokea sasa...kosa langu ni nini?
Amri ya rais inaweza kupigwa moto?Asipoondoa kinapigwa kiberiti
Kwani mi ndio mkurugenzi wa jiji? We jamaa bana,au hukutaka taarifa
Waliambiwa wafuate taratibu sio kila mahali panafaa kuweka biashara zaoAmri ya rais inaweza kupigwa moto?
Akiwa Mwz mh. Mwenyewe aliwaambia wamachinga hata wakiona pale mbele ya ofisi ya mkuu wa mkoa panawafaa kufanya biashara yao wao wafanye tu.Waliambiwa wafuate taratibu sio kila mahali panafaa kuweka biashara
Watu wana stress sana ndg yng kausha tu mi mwenyewe sijaelewa yaani imekuwaje hadi mnajibizanaMbona unanifokea sasa...kosa langu ni nini?