jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 25,020
- 22,561
Pointi yako ina ukweliYeye Kasoma miaka 18 kwa kutumia Lugha ya kiingereza. Kuanzia form one-PhD na hajui kuongea kiingereza vizuri.
Wachina wanasoma kwa kutumia Kichina, itakuwa ajabu mchina aliyemaliza hata Sekondari kama hatakijua Kichina.
Magu ni kilaza mzee wa kukariri tu.
Hata Kiswahili ni shida.