mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,834
- 3,530
Kesho, November 27, 2018, Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshimiwa Dr John Pombe Joseph Magufuli atakuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za uzinduzi wa maktaba mpya na ya kisasa kabisa kuwahi kujengwa katika ardhi ya Tanzania na bara la Africa kwa ujumla. Maktaba hiyo imejengwa kwa msaada wa watu wa jamhuri ya China na kampuni kutoka China. Maktaba hiyo kubwa, inahusisha sehemu za kusomea, uwekaji wa vitabu, kumbi za mikutano, nk