johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,944
- 141,919
Nimefuatilia kwa karibu maswali na majibu kati ya Rais Magufuli na watendaji wa mkoa wa Dsm wakati wa ziara ya Rais katika machinjio ya vingunguti.
Kiukweli ujenzi wa machinjio na fukwe ya Coco umejaa ubabaishaji mkubwa na wananchi wameshaanza kuhoji wingi wa fedha ukilinganisha na " ukawaida" wa miradi yenyewe.
Kiukweli ili tuipate thamani ya fedha kwa miradi hii miwili na kupunguza ' upigaji' ni heri usimamizi wa miradi huu akapewa mtu mwenye uwezo na ambaye kazi alizosimamia tumeshaziona.
Huyu si mwingine bali Waziri wa Tamisemi ambaye ndiye Boss wa mikoa yote mh Jaffo.
Maendeleo hayana vyama!
Kiukweli ujenzi wa machinjio na fukwe ya Coco umejaa ubabaishaji mkubwa na wananchi wameshaanza kuhoji wingi wa fedha ukilinganisha na " ukawaida" wa miradi yenyewe.
Kiukweli ili tuipate thamani ya fedha kwa miradi hii miwili na kupunguza ' upigaji' ni heri usimamizi wa miradi huu akapewa mtu mwenye uwezo na ambaye kazi alizosimamia tumeshaziona.
Huyu si mwingine bali Waziri wa Tamisemi ambaye ndiye Boss wa mikoa yote mh Jaffo.
Maendeleo hayana vyama!