Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini

1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya nini? Niwie radhi kuwa this is cheap popularity and to win the Islamic community!

2. Umeshaidharau mahakama kwa kusema ashinde asishinde nimeshamfukuza kazi! Matamshi kama hayo ni ya kidictator katika nchi ambayo ni lawlessness. Unajipa ukuu wa kuwa juu ya mahakama na sheria maana unaapa kutoisikiliza mahakama in case anakwenda mahakamani na kushinda!

3. Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime!
Halaf tumkumbushe tu kuwa alimfukuza kazi Oluoch wa CWT na sasa amegaragazwa mahakamani na wanatakiwa wamrudishe kazini..


Pia aliwahi kumfukuza kazi Mataragio wa TPDF lkn baadaye alimeza matapishi yake na akalazimika kumrudisha kazini
 
Mkuu ukiwa muajiriwa wa serikali maana yake umepita shule na kutimiza vigezo, akili ya kawaida tu inatakiwa ikwambie kwamba huwezi kuchana kitabu kitakatifu mbele ya hadhara. Na jamaa wakamrekodi muda ule ule.

Bahati aliyonayo mahali pale waislam wenye msimamo mkali walikuwa ni wachache vinginevyo wangemfanyia kitu kibaya sana.
Ndio ugaidi wa waislamu dunia nzima inaoulalamikia. Kujilipua? Why do that? Kwani hakuna taratibu za kumwadhibu kisheria? Ndiyo ugaidi wa kiislamu huo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja zipi ulizo ongea zaidi ya pumba hapo siku zote mtu anaye endekeza chuki ni mpumbavu tu hana akili na wewe unaye tetea upumbavu na wewe pia ni mpumbavu,samahani kwa kukuita mpumbavu ila sioni jina lingine zaidi ya hilo kwa mtu anaye palilia chuki kama wewe.
Ukiwa na akili sawa sawq, hata katik maisha ya kondoo, mbuzi, kichaaa, wanaweza kukufundsha kitu.
Dunia ana masomo na vipindi kila leo, lakini tu yahitaji kuwa timamu kuelewa haya.

Kama na hapa hujaelewa, nadhan utakuwa umejua kwanin, huelewi wala kujifunza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais ni mwajiri mkuu, anaweza kukufuta kazi au kupendekeza upandishwe cheo muda wowote ule.

Kiongozi mkuu wa serikali ni rais, huyo pimbi wa huko Kilosa ni muajiriwa wa serikali.

..mamlaka hayo amepewa na KATIBA.

..hivyo kuna sheria na miongozi ya kuyatumia mamlaka hayo.

..hoja yangu ilikuwa ni kumjibu KARLO MWILAPWA ambaye alidai Raisi anaweza kumfukuza kazi mtumishi yeyote bila kufuata sheria.

..kuhusu mpuuzi wa Kilosa nakubali kwamba anastahili kufukuzwa kazi.
 
Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini

1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya nini? Niwie radhi kuwa this is cheap popularity and to win the Islamic community!

2. Umeshaidharau mahakama kwa kusema ashinde asishinde nimeshamfukuza kazi! Matamshi kama hayo ni ya kidictator katika nchi ambayo ni lawlessness. Unajipa ukuu wa kuwa juu ya mahakama na sheria maana unaapa kutoisikiliza mahakama in case anakwenda mahakamani na kushinda!

3. Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime!
Hiyo panel ya hao majaji ilikuwa ni balaa. Jamaa walikuwa wana-base maamuzi yao kwenye sheria tu na sio vinginevyo.

Pamoja na kwamba labda wote hawakuwa waislamu lkn kwao kilichokuwa muhimu ni haki kwa maana ya sheria na kulinda taaluma yao.

Kwa bahati mbaya mno tena mno, leo hii hatuna tena majaji kama hao. It's very pitiful and sad if not pathetic.
 
Hiyo panel ya hao majaji ilikuwa ni balaa. Jamaa walikuwa wana-base maamuzi yao kwenye sheria tu na sio vinginevyo.

Pamoja na kwamba labda wote hawakuwa waislamu lkn kwao kilichokuwa muhimu ni haki kwa maana ya sheria na kulinda taaluma yao.

Kwa bahati mbaya mno tena mno, leo hii hatuna tena majaji kama hao. It's very pitiful and sad if not pathetic.
Hakuna tena na hawatakuja kutokea. These judges were appointed on merit and not on know who criteria! Kumbuka Judge kama akina Mwalusanya, Lugakingila, Katiti, Mroso and a few others!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kosa lisilovumilika! Huyu kachoma makaratasi tu ambayo ni replaceable! kama siyo siasa kali za wenzetu ilikuwa ni kumdharau na yanaishia hapo. Ukishaweka maneno unayakuza! Najua wewe unamtetea Jiwe wako, lkn unajua fika kuwa hakuna kosa lisilosameheka. hata waliompiga Lisu risasi kwa amri ya huyo... wakitubu wanasamehewa! After all nani ana uhakika kuwa MUNGU YUPO NA HICHO NI KITABU CHAKE? LIKEWISE BIBLIA?

Ametenda jinai kubwa ya uchochezi.

Hafai kuwa mtumishi wa umma kwa sababu haheshimu asilimia 50 ya watu wanaomlipa mshahara kwa kodi zao.
 
Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini

1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya nini? Niwie radhi kuwa this is cheap popularity and to win the Islamic community!

2. Umeshaidharau mahakama kwa kusema ashinde asishinde nimeshamfukuza kazi! Matamshi kama hayo ni ya kidictator katika nchi ambayo ni lawlessness. Unajipa ukuu wa kuwa juu ya mahakama na sheria maana unaapa kutoisikiliza mahakama in case anakwenda mahakamani na kushinda!

3. Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime!
Wansheria tusaidieni jamani hivi ni sahihi kosa moja mtu kuadhibiwa zaidi ya mara mbili.kusimamishwa kazi,kufunguliwa mashitaka kabla ya rulling kufukuzwa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufukuzwa au kisimamishwa kabla au baada ya kufunguliwa mashtaka ndio njia salama zaidi ya kudhibiti uhalifu.

Rais katenda wajibu wake kama muajiri kwa muajiriwa mwenye utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.

Mahakamani kapelekwa akajibu mashtaka kama mhalifu ambapo yeyote angepelekwa Kama angefanya aliyofanya.

Kwa hiyo Kuna pande, Kuna adhabu ya muajiri kwa mwajiriwa na Kuna adhabu ya kisheria ya mahakàmà. Mwajiriwa halazimishwi na sheria ila kanuni na taratibu za ajira kwa mfano: mlevi anaweza kufukuzwa kwa kulewa kazini lakini sheria inaweza kutoona kosa lake na kumwachia hiyo haimaanishi mwajiriwa ana haki ya kumrudisha
We unachanganya mada kwa Nini kuna vikao vya ajira na nidhamu ?kazi yake ni Nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Issue ya Kilosa ambayo nafikiri ni "Religious Profanity", ni kosa la jinai tu kama makosa mengine yoyote ya jinai.

Sioni mantiki ya rais kulivalia njuga namna hiyo hilo swala kwani hiyo tuhuma sio ya kikazi na maslahi ya serikali hayajaathiriwa kutokana na kosa hilo.

Kwa mara nyingine tena huyu mtuhumiwa anampa tena Mr. Magufuli jukwaa la kutafutia uungwaji mkono kutoka kwa waumini wa kiislamu huku uchaguzi ukikaribia.

Mwisho, huyo jamaa kama mtumishi ana haki zake, sio haki rais amtumie kama "Political Bait" kwa swala ambalo, kimsingi, serikali is, obviously, not an affected party.

This, like several others, is another hypocritical disposition displayed by the incumbent which must be condemned by all reasonable minded persons.
 
Exactly, reasonable minded people, umenifurahisha sana. Kuna mijitu humu ni kama karai za kuchotea cement na zege!
Issue ya Kilosa ambayo nafikiri ni "Religious Profanity", ni kosa la jinai tu kama makosa mengine yoyote ya jinai.

Sioni mantiki ya rais kulivalia njuga namna hiyo hilo swala kwani hiyo tuhuma sio ya kikazi na maslahi ya serikali hayajaathiriwa kutokana na kosa hilo.

Kwa mara nyingine tena huyu mtuhumiwa anampa tena Mr. Magufuli jukwaa la kutafutia uungwaji mkono kutoka kwa waumini wa kiislamu huku uchaguzi ukikaribia.

Mwisho, huyo jamaa kama mtumishi ana haki zake, sio haki rais amtumie kama "Political Bait" kwa swala ambalo, kimsingi, serikali is, obviously, not an affected party.

This, like several others, is another hypocritical disposition displayed by the incumbent which must be condemned by all reasonable minded persons.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufukuzwa au kisimamishwa kabla au baada ya kufunguliwa mashtaka ndio njia salama zaidi ya kudhibiti uhalifu.

Rais katenda wajibu wake kama muajiri kwa muajiriwa mwenye utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.

Mahakamani kapelekwa akajibu mashtaka kama mhalifu ambapo yeyote angepelekwa Kama angefanya aliyofanya.

Kwa hiyo Kuna pande, Kuna adhabu ya muajiri kwa mwajiriwa na Kuna adhabu ya kisheria ya mahakàmà. Mwajiriwa halazimishwi na sheria ila kanuni na taratibu za ajira kwa mfano: mlevi anaweza kufukuzwa kwa kulewa kazini lakini sheria inaweza kutoona kosa lake na kumwachia hiyo haimaanishi mwajiriwa ana haki ya kumrudisha
Sheria si tumejiwekea wenyewe? Hata mtu ukimkamata mtu anaua red-handed, kumhukumu kifungo hapo hapo, ni lazima afikishwe mahakamani na asikilizwe kabla ya kuhukumiwa, right? Hata kazini ni hivyo hivyo. Huwezi kutoka huko ulikotoka ukamfuta mtu kazi. Hiyo itakuwa ni maisha ya banana republic. Sheria ni social contract. Tumekubaliana hivyo, kwamba sisi ni nchi inayofuata na kuheshimu misingi ya sheria. Hivyo tuwe wavumilivu na waungwana.
 
Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.

Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.

Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.

Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?

Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Nitaeleza:

1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.

2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake

3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.

Tujifunze kuheshimu Sheria

1. Tena ikithibitika alikuwa yuko "mbwiii" na kilevi, hata hahitaji kuweka hata wakili, anaachiliwa asubuhi tu na hakuna cha "upelelezi haujakamilika" wala nini....

2. Halafu mimi nashangaa sana watu na serikali yenyewe inavyolikuza jambo hili unnecessarily kabisa. Kwanza hebu tujiulize tangu lini "kitabu chochote cha makaratasi tu yanayoweza kuchanika, kuungua moto ama kuchanwa na mlevi barabarani, iwe Biblia ama Korani kiwe kitakatifu??"

Makaratasi yapo kwa ajili ya kutunza kumbukumbu tu za maandishi lakini hatuwezi kuziita "takatifu". Hayo maandishi yakisomwa na kukaa ndani ya moyo ama nafsi ya mtu yakatenda kazi kusudiwa, ndipo yanakuwa na maana. Ukishamaliza kusoma, waweza hata kutupa chooni kitabu hicho kwa sababu utakuwa umepakua na ku - install ndani ya moyo kila kitu...

Kama Yesu Kristo atarudi leo kuchukua watu wake, hatauliza ama kuwataka watu waoneshe " the so called - Biblia ama Korani takatifu" ndiyo iwe tiketi yako ya kuingia mbinguni. HAKUNA!!

3. Mimi ni Mkristo 100%. Lakini akitokea mtu ambaye anapesa zake zimekosa kazi ya kufanya na akaamua kwenda kununua Biblia zote madukani na kuzipeleka dampo kule Pugu na kuzitupa ama kuzichoma moto, nakuhakikishia kabisa SITAJALI LOLOTE!!...Why?

4. Kwa sababu Mungu yeye ndiye Mtakatifu na kamwe haishi kwenye makaratasi yanayoitwa "Biblia" au "Korani". Mungu anaishi ndani ya Roho ama Mioyo na Nafsi za WATU haishi kwenye makaratasi yanayochanika ama kuchomeka na moto ama kulowa na maji....!!

5. Ukichana makaratasi hayo yanayoitwa leo " matakatifu", haiwezi kuwa umemchoma au kumchanachana Mungu. Mungu Mtakatifu hachanwi wala haunguzwi na moto kana kwamba yeye amekuwa ni karatasi!!

6. Mtu anayeweza kuamushiwa hii inayoitwa "hisia ama hasira zake" na eti kutaka naye kulipiza kisasi eti kwa sababu makaratasi yaliyopachikwa na binadamu jina la "kitabu kitakatifu" yanechanwa au kuchomwa moto na mlevi fulani, hakika huyo mtu hapana jina jema linalomfaa kuitwa zaidi kuwa a useless chicken head, mtu asiyemjua Mungu Mtakatifu wala namna anavyotenda kazi katika maisha ya watu...!!

7. Umesema kweli, kuwa, kile ambacho ni kitakatifu kwako siyo lazima kiwe kitakatifu kwangu....
 
Rais kwa mamlaka yake ni muajiri mkuu wa Serikali hivyo ana mamlaka yote ya kumuajiri na kumfukuza yeyote ndani ya JMT kwa sababu yoyote bila kumtaarifu yoyote juu ya ukomo wako wa ajira.

Hata kama ni ngumu kuwatoa baadhi ya watumishi kama CAG na majaji lakini katiba imesema hapana kama Rais hatoweza kuwaondoa hao dhanà nzima ya muajiri mkuu inapotea ndio maana kawekewa utaratibu wa kumtoa na anaweza kumtoa.

Kwa hiyo Rais anaposema Fulani atoke hakihitajiki kingine zaidi ya kutangazwa nafasi ipo wazi na mtu anajazwa
Mwambie Mtoa Mada asome kifungu namba 24 cha sheria ya utumishi wa umma ya mwaka 2002.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Technically, Rais hana mamlaka ya kumfukuza kazi mwajiriwa wa serikali .....!!
Angalia hapo Mkuu
Screenshot_20200212-164051.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom