Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Halaf tumkumbushe tu kuwa alimfukuza kazi Oluoch wa CWT na sasa amegaragazwa mahakamani na wanatakiwa wamrudishe kazini..Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini
1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya nini? Niwie radhi kuwa this is cheap popularity and to win the Islamic community!
2. Umeshaidharau mahakama kwa kusema ashinde asishinde nimeshamfukuza kazi! Matamshi kama hayo ni ya kidictator katika nchi ambayo ni lawlessness. Unajipa ukuu wa kuwa juu ya mahakama na sheria maana unaapa kutoisikiliza mahakama in case anakwenda mahakamani na kushinda!
3. Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime!
Oluoch ruksa kurejea kazini
Katibu mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk Laurean Ndumbaro amesema naibu katibu mkuu wa zamani wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Ezekia Oluochi anaweza...
www.mwananchi.co.tz
Pia aliwahi kumfukuza kazi Mataragio wa TPDF lkn baadaye alimeza matapishi yake na akalazimika kumrudisha kazini