MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Ataupata tu! Ndio maana alisema "anatamani malaika waje wafungie mitandao japo kwa mwaka mmoja"! Ni wazi anadurusu sana mitandao ya kijamii kupata public opinion kuhusu mustakabali wa NJI yetu!kweli kabisa mkuu,sijui mkuu ataupata ujumbe wako muruwa kabisa,na kwa kuwa eneo hilo liko ukanda wa matetemeko,sidhani kama wafungwa watajua aina ya teknolojia ya kutumia