GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.
Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed
Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.
Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"
Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake
Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako
"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''
Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.
CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.
Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,
Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.
Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.
Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti
Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.
CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.
Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?
Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.
Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.
Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.
Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed
Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.
Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"
Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake
Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako
"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''
Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.
CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.
Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,
Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.
Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.
Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti
Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.
CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.
Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?
Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.
Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.
Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.
Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.