Rais Magufuli hajavunja Katiba kumteua CAG mpya, tatizo ni Kiingereza kilichotumika kwenye Katiba

sheria katika taifa la waaswahili iandikwe kwa kiingereza kwanini? Kama siyo utumwa
Mbona kiswahili nacho ni tatizo, mfano andazi ni nini? Kitafunio au Kitafunwa? Wengi humu watakuambia ni kitafunio! Hata hiyo humu wataandika UMU na hata wataandika ATA, acha visingizio mnakaa kusifia nchi nyingine kujifunza kiswahi nyie kiingereza kimewashinda, Wachina wanajifunza kiingereza ili wafanye biashara.
 
Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.

Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed

Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.

Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"

Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake

Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako

"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''

Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.

CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.

Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,


Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.

Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.

Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti

Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.

CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.

Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?

Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.

Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.

Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.



Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Umeeleweka, ingawa umetumia nguvu nyingi mno.
 
Shall, shall, shall, shall, shall.... RAIS ALISIKIKA AKISEMA HAIWEZEKANI AWEZE MTEUA MTU NA ASIWEZE MTUMBUA... Mjinga mmoja akauliza vp anaweza mtumbua JAJI MKUU??
 
Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed

Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe. Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"

Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake

Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.

Watu kama wewe mnaojifanya mnajua kumbe hamjui mnaniudhi sana. Ningekuwa DC ningekutandika viboko. Hivi kwa nini hata usijaribu kufanya utafiti kabla ya kuandika mambo ya kupotosha huku ukikandia kwamba watu hawajui kiingereza kama wewe? Unasema watu wanajifanya wanajua Kiingereza kumbe wewe ndio poyoyo kabisa. Sawa unaweza ukawa unachapia kiingereza cha kuongea lakini hujiu kiingereza cha sheria.

Sasa sikiliza, katika kiingereza cha kisheria, popote unapoona neno "shall" hiyo ni lazima, yaani mandatory requirement. IKiwa sio lazim lakini ni muhimu neno linalotumika ni "should" au "will".

Kwa mfano, huwezi kusema, the president of Tanzania will have maximum of two terms of five years each, bali utapaswa kusema the president of Tanzania shall have a maximum of two terms of five years each. Na wala huwezi kusema the president should have, maana hapo unakuwa unatoa pendekezo.

Sasa acha kuandika mambo ambayo huna uelewa nayo huku ukikashifu watu kuwa hawajui lugha kumbe wewe ndio hujui.
 
Watu kama wewe mnaojifanya mnajua kumbe hamjui mnaniudhi sana. Ningekuwa DC ningekutandika viboko. Hivi kwa nini hata usijaribu kufanya utafiti kabla ya kuandika mambo ya kupotosha huku ukikandia kwamba watu hawajui kiingereza kama wewe? Unasema watu wanajifanya wanajua Kiingereza kumbe wewe ndio poyoyo kabisa. Sawa unaweza ukawa unachapia kiingereza cha kuongea lakini hujiu kiingereza cha sheria.

Sasa sikiliza, katika kiingereza cha kisheria, popote unapoona neno "shall" hiyo ni lazima, yaani mandatory requirement. IKiwa sio lazim lakini ni muhimu neno linalotumika ni "should" au "will".

Kwa mfano, huwezi kusema, the president of Tanzania will have maximum of two terms of five years each, bali utapaswa kusema the president of Tanzania shall have a maximum of two terms of five years each. Na wala huwezi kusema the president should have, maana hapo unakuwa unatoa pendekezo.

Sasa acha kuandika mambo ambayo huna uelewa nayo huku ukikashifu watu kuwa hawajui lugha kumbe wewe ndio hujui.
WILL ni hiari, haulazimiki.
SHALL ni lazima hivyo hakutakuwa na uchaguzi.
 
Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.

Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed

Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.

Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"

Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake

Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako

"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''

Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.

CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.

Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,


Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.

Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.

Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti

Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.

CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.

Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?

Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.

Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.

Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.



Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Tatizo ni kwamba unazungumzia Shall ya kawaida ,ukizungumzia hivyo ni kama uko sahihi. Bahati mbaya kwako ni kuwa 'Shall' inayozungumziwa ni 'Shall' ya kisheria ambayo inapotumika maana yake imeainishwa kuwa inamaanisha nini. Kwa hiyo uko wrong#
 
Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.

Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed

Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.

Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"

Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake

Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako

"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''

Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.

CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.

Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,


Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.

Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.

Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti

Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.

CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.

Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?

Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.

Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.

Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.



Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Gussie nakupongeza sana kwa ufafanuzi wako. Mimi nakubaliana na wewe kusema kuwa Assad "anastahili/ana sifa" ya kuendelea, lakini pia nakubaliana nawe kwamba "sio lazima" aendelee kuwa CAG kwa mara nyingine. Bila shaka wewe Gussie una ufahamu wa kutosha wa masuala ya uteuzi na utenguzi/ukomo wa cheo cha CAG. Kama ni hivyo basi, ningependa unisaidie kuelewa jambo moja.

Tatizo langu ni hili ndugu yangu; kila jambo lina sababu yake. Mathalani ni kweli kwamba kila muhitimu wa chuo hapa nchini japo anastahili kuajiriwa na serikali bado anaweza kukosa ajira kutokana na sababu nyingi kama vile kukosekana kwa fursa ya ajira au ushindani. Lakini kwa wenye akili, unaposema "sio lazima" kwa Assad kuendelea kuwa CAG ; ni sharti utaje sababu (dharura) iliyopelekea asiendelee na cheo hicho wakati umri wake bado "unadai" na fursa bado ipo? Je, unataka kutuambia alikosa fursa kutokana na ushindani?
 
GUSSIE,
Unatetea ujinga, yeye kashasema kama ana mamlaka ya kuteua basi pia lazima ana mamlaka ya kutengua.

Haya kayasema yeye mwenyewe na kamwambia Kichere kuwa anaweza kukaa kwa mwaka mmoja tu akatumbuliwa.
Kwa muktadha wa kauli hiyo, hakumaanisha kumtengua Assad, maana Assad kamaliza muda wake bila kutenguliwa ingawa kulikuwa na shinikizo la kufanya hivyo toka Bungeni.

Bali 'kumtengua muda wowote' ilimlenga aliyemteua kama wosia kwake na katiba inaeleza hivyo juu ya mamlaka aliyonayo rais.
 
Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.

Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed

Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.

Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"

Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake

Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako

"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''

Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.

CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.

Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,


Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.

Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.

Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti

Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.

CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.

Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?

Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.

Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.

Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.



Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Pamoja na kiingereza kuwa tatizo kubwa kwa wa tz! lakini maneno aliyotamka mukulu ikulu yanatia wasiwasi!!! Najaribu kufikiri sijapata jibu!!
Kumbe muhimili uliagiza cag asitamke chohote kuhusu matilioni ambayo matumizi hayajulikani!! Ambayo muhimili mmoja ulitamka hamna pesa iliyopotea.Nakumbuka hata assad mwenyewe aliwahi ulizwa je kuna pesa imepotea alikana hadharani(haikupotea ila matumizi yake hayajulikani)
Matamshi ya Chuki,hasira,kiburi,jeuri,lalamishi!!!!
Ipo siku udhaifu alotaja assad utakuwa wazi
God bless Tanzania!!
 
Mimi naona hichi kiingereza wewe na rais ndo mmeelewa vizuri kuliko wengine

Na ungeweka na sheria nyingine ambaye inamfanya asiendelee na U CAG au asiongezewe awamu nyinginge- hiyo ipo ila umefumbia macho

Yeye wa kwanza kuwa mkali watia nia wakijitokeza.

Kwa tafsiri yao inaonesha ten commandmends zote ni hiari kuzifata.
"Thou shall not kill" kwa tafsiri yao ukijisilia unaweza kuuwa.
 
Naunga mkono hoja
Tusimlaumu Rais Magufuli kwa lolote, yote anayoyafanya ni kwa mujibu wa katiba
He has all the powers to hire and fire as he pleases

P.
Anazo power kwa sababu hafuati katiba
 
Kiongozi wadau walipokuwa wanadai katika mpya vitu vidogo vidogo kama hivi ndio tatizo na tukiendelea mchekea chekea uyu mzee anapotupeleka siyo mungu namwambia tukubali lolote liwe kwa kizazi chetu cha baaadae

Tumeona nchi nyingi zikidai haki zao je watu wamepotea wote tukiondoa sodoma na gomora au wakati gharika la mvua kipindi cha nuhu hakuna so tusimchekee mzee na genge lake wanapotupeleka siyo

Angalia uhuni unaofanyika katika chaguzi za serikali za mtaa nini maana yake nini hii yani mtendaji kata ambaye ni mwajiriwa wa serikalini anafunga ofisi wiki nzima, mkurugenzi yupo anatizama tu kama si kutudharau watanzania ni nini hii maana yake

Hizi zarau tena kubwa sana historian inatuambia uko chato mzee ajawahi pita kwa kura yeye alikuwaga anapiga bila kupigwa na tugemee mwakati kuona vitukao zaidi ya hapa endapo tutaendelea mchekea mchekea
Huyu Jiwe ataondolewa na kifo tu madarakani lakini siyo sanduku la kura.
 
Katika mambo ambayo ni magumu ni haya ya sheria. Ni Wengi tu wamesimamia neno "shall" na kusema raisi hakuwa na njia bali kumpa mkataba mwingine. Mimi kwa maneno "shall be eligible for renewal" naisoma kuwa anastahili kufikiriwa kupewa mkataba wake yaani haimuondoi kwenye eligibility. Prof. Shivji alikwenda na tafsiri hii mara ya kwanza kwa kuangalia tu man zieno hayo. Sasa aliponiacha hoi ni pale alipo badilisha msimamo wake-hakukana maneno hayo na tafsiri yake bali aliweka kifungu kingine na kusema kwa kusoma vifungu vyote viwili raisi hakuwa na njia bali kumpa mkataba mwingine. Wako pia wanaosema kama ni lazima apewe mkataba mwingine basi katiba na sheria vingesema tu kuwa ukichaguliwa wewe unaula term ya miaka 10 labda tu kama utagonga 65 kabla ya kumaliza term yako. Kwangu mimi hii ina mantiki. Sasa inavyoelekea haya ndiyo mambo ambayo mahakama ina bidi yaamue usahihi uko wapi au kama katiba/sheria haziko sawa ziandikwe vizuri zaidi. Naamini spirit ya katiba na sheria ni kumpa madaraka raisi baada ya miaka mitano aamue kama anaendelea na CAG au vipi. Sheria zetu nyingi zimetungwa kwa kumpa raisi nguvu iliyopitiliza.
Mwisho kabisa hii inaonyesha kuna haja ya kupitia tena katiba yetu na kutumia lugha rafiki kwa sisi BUSH Lawyers.
 
Huyu Jiwe ataondolewa na kifo tu madarakani lakini siyo sanduku la kura.
Kumbe unajua eeh!! Hakuna wa kushindana na Mh. Rais Magufuli kwa kuwa ni mchapa kazi na watz wengi wanamkubali sana. Wapinzani wake sasa wamebaki kumwombea kifo tu kama wewe unavyofanya sasa hivi lakini kumbuka unaweza anza wewe kufa kwanza Mungu hapangiwi.
 
Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.

Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed

Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.

Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"

Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake

Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako

"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''

Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.

CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.

Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,


Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.

Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.

Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti

Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.

CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.

Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?

Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.

Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.

Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.



Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Umeelewa vyema sana
Inshort kama katiba ingekuwa inataka hiyo "shall" ya lazima bx isingeuma maneno

Na pengine hakukuwa na haja ya kutaja miaka mitano badala ya kutaja kabx kuwa CAG atahudumu kwa miaka KUMI BHAAAAAASI
 
Back
Top Bottom