Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Akiwa kanisani amesisitiza kwamba uchumi upo vizuri ndio maana taa za barabarani hadi chato.
Huyu bwana huwa naona kama mtu mmoja ambaye ana abudu sana vitu, ndio maana huwambii kitu kuhusu mandege, barabara etc.
Wachumi eti kuweka taa za barabarani kuna uhusiano gani na kukua kwa uchumi au ulimi ulitereza.
Mbona sinawahi ona akitoa jasho kuzungumzia fund za research labda vyuo?
Mungu ibariki Tanzania, tutanunua ndege kwa pesa yetu hadi zifike 500 hata zikipaki sawa tuu shida ipo wapi.
Huyu bwana huwa naona kama mtu mmoja ambaye ana abudu sana vitu, ndio maana huwambii kitu kuhusu mandege, barabara etc.
Wachumi eti kuweka taa za barabarani kuna uhusiano gani na kukua kwa uchumi au ulimi ulitereza.
Mbona sinawahi ona akitoa jasho kuzungumzia fund za research labda vyuo?
Mungu ibariki Tanzania, tutanunua ndege kwa pesa yetu hadi zifike 500 hata zikipaki sawa tuu shida ipo wapi.