tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Halafu anakataza Ofisi za Serikali kutumia fedha za Umma kutengeneza Kadi, ili Hali yeye mwenyewe katengeneza tena kwa nembo ya Ikulu.
... Weka hapa kadi ya TBC...Media zote zimepewa kadi mbona mnadakia msilolijua kupongeza sio shuruti ni hiari
Mbona hatujaziona kama kawatumia kama ilivyo hii Mawingu studio?We umejuaje kama vituo vingine hawakutumiwa salamu za krismass?
Aaah wewe ni noma mbona hamna kitu kama icho hapaNimeifuma Mahala
Mkuu Atubela, lengo linaweza kuwa ni kutaka kuanzisha maneno ya kimbea. Tunaishi zaidi kwa kutegemea umbea, wanasema udaku unauza kuliko habari za magazeti ya kizungu.We umejuaje kama vituo vingine hawakutumiwa salamu za krismass?
Sasa kama wao hawakutaka kuziweka hadharani nyie mtajuaje.Mbona hatujaziona kama kawatumia kama ilivyo hii Mawingu studio?
Na ile nembo ya adam na hawaSidhani kama ni mambo ya KIKANDA. Pengine vipindi vya Cloud VINAMBAMBA na ametuma salamu kama SHABIKI na si kama Rais.
Hiyo bado INAKUBALIKA!
Hata hivyo kanda ya ZIWA bado ni Tanzania.
Labda tungeuliza na yetu watanzania wengine je iko wapi?
Pengine inakuja au imekuja na hujaisikia?
Anawakumbuka Cheerleaders sio, Hiyo ni ishara ya Madictator, wanalazimisha wapendwe na wasifiwe! Nimeona Video ya Amini hapa, wajamaa wanafanana sana kwa vitisho kwa Mawaziri nk. Ila ingawa Amini alikuwa akiongea Kiingereza Kibovu bado Amini Kiingereza chake kilikuwa bora mara kama 10 hivi. Mnabish niweke Video ya kulinganisha? Mnabish?View attachment 449618
Nimejiuliza kwanini Rais akuwatakia vyombo vyote vya habari?
Je,Hii hawezi kuwafanya media nyingine kuwa na kinyongo?
Au ni kweli Mhe.Rais clouds ndio radio/Tv yake pendwa tanzania?
Tuwekee hapa hizo salama kama tulivyoona za Clouds, otherwise mkulu ana double standardsWe umejuaje kama vituo vingine hawakutumiwa salamu za krismass?