Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
Ikumbukwe mwaka jana alipiga marufuku fedha za umma kutumika kununulia au kusambaza kadi hizo, mwaka huu hali imekuwa tofauti kwani naye ametuma kadi kwa wale awapendao!
Bila shaka jambo hili limepokelewa na wadau kwa mitazamo tofauti tofauti!!