Duh,hakika tuliomnyima kura tutapata laana kama ataendelea hivo hadi mwisho
Pole sana mama. Mwache Magufuli asafishe serikaliIla ccm hii mbinu tunayoitumia nimeikubali,kweli tunajua kucheza na akili za watanzania..na Mzee nyerere aliwahi kusema mabadiliko ya kweli nchi hii yataletwa na ccm,co wale wahuni wa upande wa pili.
nataka kukupa like lkn nashindwa! I Like That!Ikawa usiku, ikawa asubuhi, siku ya 32!
Sasa unataka yaendelee mwaka mzima kwa sababu gani? Mtu makini hawezi kufanya mambo kimakosa. Akishasafisha kote hakutakuwa na sababu ya kuendelea kusafisha sehemu iliyo safi. Tunachotaka ni Kazi tuNaweza hama nchi kama haya yakiendelea kwa mwaka mzima...cwezi kaa nchi ambayo kiongozi wake ckumpigia kura kwa mkumbo bila kujua mazuri ambayo angeyafanya leo hii roho yangu inaniuma kwa ubaya niliomtendea cku ile ya 25 october...hakika nipo mbioni kuhama nchi endepo matarajio ya wananchi atayatimiza
Safisha baba safisha. Hatutaki kuyaona majizi yakibaki kwenye utumishi wa umma