kolorama
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 309
- 219
Mkuu kweli usemayo ila magari ni machache sana hasa Morocco mbezi. Unaweza kukakaa pale Morocco terminal zaidi ya dk 40 hakuna gari. Tunaomba sana waongeze magari zaidi asubuhi na jioniTaarifa hii ina mapungufu makubwa sana. Nijuavyo mimi ni kwamba mabasi ya mwendo kasi yanafika mpaka Mbezi. Hakuna sehemu ambako usafiri hauna shida kama maeneo hayo hasa kama unaelekea Posta na Kariakoo au hata Morocco. Usafiri upo wa kutosha na wa haraka. Imefika wakati sasa wenye daladala za kawaida wanalalamika hawafanyi biashara. Tena wengine wameamua kusitisha route za huko na kwenda kutafuta kwingineko. Haya ndiyo maendeleo. Msianze kulalamika kwa mambo msiyojua