Viumbe wengine hawachelewi kumzushia mtu. Hawaoni aibu bora umefafanuaHajauliza ni wa chama gani bali amesema wajifunze kuchagua, sio kila mtu anaweza kuwa mbunge
Viumbe wengine hawachelewi kumzushia mtu. Hawaoni aibu bora umefafanuaHajauliza ni wa chama gani bali amesema wajifunze kuchagua, sio kila mtu anaweza kuwa mbunge
no commentMagufuli yuko sahihi kabisa WAJIFUNZE KUCHAGUA RAIS na si mtu aliyejaribu kuchukua fomu akasukumiziwa huko!
Huyu mchungaji kaomba radhiNdioo msigwa ataelewa amekosaa kias gn
Mbona anafungua ujenzi wa barabara ya lami Kilombero kwa mbunge mtata wa CDM Lijualikali? Hapo Mikumi ni kwa mbunge bora Prof J, Mlimba kwa Kiwanga wote wa CDM!!Hatutapeleka fedha ya maendeleo kwenye majimbo ya upinzani, full stop, liwalo na liwe.
Kipi usichoelewa hapo,nanukuu " hatupeleki maendeleo kwenye majimbo ya upinzani "ukisikia kauli za kukosea kuchagua ikitolewa na mwanaccm tafsiri yake hamkuchagua ccmHajauliza ni wa chama gani bali amesema wajifunze kuchagua, sio kila mtu anaweza kuwa mbunge
Wengine tulishakata tamaa tunasubiri siku ziende tu hatuoni Tumaini wingu jeusi limetandaKama kuna mtu bado ana imani na MWALIMU wangu basi ni wa kuonewa huruma.
Wewe hujui wanasiasa ni watu wa aina gani? Kati ya 100% chukua 1%Katika hali ya kushangaza Mh.Rais wakati akijibu swala la umeme kwanza ameuliza mbunge wa eneo husika na baada ya kujibiwa kuwa ni mpinzani.' naye kawajibu ''Mjifunze kuchagua'' Magufuli
Zile kauli za maendeleo hayana vyama zinakuwa na maana gani!??
Heri ukosee kuoa kuliko kukosea kuchagua,twajuuuta!!Mkichagua mvuta bange mtarajie maumivu
MkuuRais anawakumbusha kuwa sera za CCM ni bora zaidi na zinatekelezeka;
Bora wewe ndugu yangu, Mimi nilivunjwa moyo na mwalimu wangu mwenyewe! Roho siyo yangu.Wengine tulishakata tamaa tunasubiri siku ziende tu hatuoni Tumaini wingu jeusi limetanda
Haaminiki. Hanaga kauli inayoeleweka. Leo atasema hiki na kesho atasema kinyume chakeMh.Rais kasimamishwa na watu wakati akielekea ziarani Morogoro, wananchi hao wamemsimamisha huku wakiwa na mabango yanayoonyesha mahitaji na matatizo yao, miongon mwa kero ni kutosajiliwa kwa shule ya kijiji ambayo ipo darasa la tano.
Katika kujibu kero zao ametoa kiasi cha milioni tatu na kuagiza shule isajiliwe ikiwezekana mwezi huu.
Katika hali ya kushangaza Mh.Rais wakati akijibu swala la umeme kwanza ameuliza mbunge wa eneo husika na baada ya kujibiwa kuwa ni mpinzani.' naye kawajibu ''Mjifunze kuchagua'' Magufuli
Zile kauli za maendeleo hayana vyama zinakuwa na maana gani!??
hapa ndio unamuuliza msigwa alitumia nn kufikiri?? jamaa anajipambanunua kuwa ni mbaguz harafu yeye anasema hapendelei. aiseee afrika tumelogwa