Rais Magufuli awaagiza RPC na RC wa Njombe kumfungulia upya kesi mtu aliyeachiliwa huru na Mahakama kwa makosa ya kubaka watoto 11

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,417
74,073
Leo katika kuwaapisha wateule wako , umemuagiza RPC na RC wa Njombe kuwa amkamate tena mtu ambaye ameachiwa huru kwa mashitaka ya kuwabaka watoto 11. Hapo hapo ukawaambia Jaji Mkuu na IGP waliokuwa hapo wafuatilie kuwa amri hiyo inatekelezwa. Umeagiza washitakiwe upya.

1. Kisheria amri hii ni maintainable? Kwa mamlaka gani ya kisheria halali uliyotumia kutoa amri hiyo?

2. Ushahidi upi ambao uliowaagiza watautumia kumweka hatiani, maana ushahidi uliotolewa haukuwa na mashiko ya kisheria.

3. Kwa kumuagiza Jaji Mkuu huoni kuwa unaingilia uhuru (independence) wa mahakama? Kesho watu wakilalamika kuwa hukumu zinazotolewa ni amri toka kwako utakana kuwa huingilii mahakama?

4. Moral authority unaitoa wapi kama uliwaachia WABAKAJI akina babu Seya, with all incriminating evidence kutoka mahakama ya Hakimu Mkazi mpaka Court of Appeal ambao pia waliwabaka watoto? na baadaye mahakama ya haki za binadamu ya Afrika ya mashariki?

5. Jaji Mkuu jana wakati wa maandalizi ya wiki ya sheria, uliwaaminisha watanzania kuwa mahakama zetu zipo huru, hili unalisemeaje la kupewa amri . Hukumu itakayotoka (kama ni rufaa, review, revision as the case will be, maana najua amri itatekelezwa) kama atawekwa hatiani, itaaminika kweli kuwa haki imetendeka?

Ni hayo tu Mh. Rais.
 
Iko siku atamwamrisha hakimu amhukumu Lissu nna Mbowe kifungo cha maisha jela bila hata kufata procedure za kimahakama!! Hapo ndipo utajua kuwa mahakama ilish
26f62179ee5a14238ca7060308c546e2.jpg
a kuwa kwapani long time!!
 
Kuutetea utawala wa aina hii yahitaji kujitoa fahamu kweli kweli maana unatia aibu mno

Viongozi wa awamu hii wanatia kinyaa mno hata kuwaita viongozi, wanastahili kuitwa watawala, huwezi kuingilia uhuru wa mahakama na bunge kama kweli ni kiongozi unayejua wajibu wako kikatiba

Ngoja tuona hatari inayolinyemelea taifa hili mwisho wake ni nini, maana yanayofanyika sasa yanatoa ishara ya nchi kusambaratika huko tuendako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo katika kuwaapisha wateule wako , umemuagiza RPC na RC wa Njombe kuwa amkamate tena mtu ambaye ameachiwa huru kwa mashitaka ya kuwabaka watoto 11. Hapo hapo ukawaambia Jaji Mkuu na IGP waliokuwa hapo wafuatilie kuwa amri hiyo inatekelezwa. Umeagiza washitakiwe upya.

1. Kisheria amri hii ni maintainable? Kwa mamlaka gani ya kisheria halali uliyotumia kutoa amri hiyo?

2. Ushahidi upi ambao uliowaagiza watautumia kumweka hatiani, maana ushahidi uliotolewa haukuwa na mashiko ya kisheria.

3. Kwa kumuagiza Jaji Mkuu huoni kuwa unaingilia uhuru (independence) wa mahakama? Kesho watu wakilalamika kuwa hukumu zinazotolewa ni amri toka kwako utakana kuwa huingilii mahakama?

4. Moral authority unaitoa wapi kama uliwaachia WABAKAJI akina babu Seya, with all incriminating evidence kutoka mahakama ya Hakimu Mkazi mpaka Court of Appeal ambao pia waliwabaka watoto? na baadaye mahakama ya haki za binadamu ya Afrika ya mashariki?

5. Jaji Mkuu jana wakati wa maandalizi ya wiki ya sheria, uliwaaminisha watanzania kuwa mahakama zetu zipo huru, hili unalisemeaje la kupewa amri . Hukumu itakayotoka (kama ni rufaa, review, revision as the case will be, maana najua amri itatekelezwa) kama atawekwa hatiani, itaaminika kweli kuwa haki imetendeka?

Ni hayo tu Mh. Rais.
Muogope mungu hakusema hivyo alisemea jamaa aliyebaka mara 11! Hivi uzushi unakusaidia nini?
 
Back
Top Bottom