Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,452
DED na wakuu wa vitengo wako chini ya TAMISEMI; ni waajiriwa wa Wizara ya Nchi - Ofisi ya Rais; siyo wateule wa Rais! Wanasimaiwa na Waziri MkuuMY FRIEND HAO WOTE WANATEULIWA NA RAIS!!
NA HAPA NDIPO NINAPOONA UBAYA WA KATIBA YETU!