DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,328
HuyuTunaomba picha ya huyo demu kabla hatujafika mbali
HuyuTunaomba picha ya huyo demu kabla hatujafika mbali
ulitaka awe mpaganiKila anaetoka Islam kuingia Galatea
Anachokifaya Mhe. Rais, ninakipenda mno, wanapoteuliwa wanatutesa sana wapinzani hata bila sababu kwa lengo la kumfurahisha Mhe. Rais, sasa ngoja yawakute. Wajue sio jambo zuri kumuonea mtu kwa sababu ya kumfurahisha Rais. Hafurahishiki huyu.Kuteua na kutengua kila kukicha ni sera inayoonekana ku-prove failure mpaka sasa na aliefeli zaidi hapa ni muasisi wa sera/mbinu husika.
Kama utaratibu huu ungekuwa unaleta tija inayokusudiwa,basi taarifa hizi za watu kuteuliwa na kutenguliwa kila kukicha zingekuwa zinapungua siku hadi siku lakini badala yake ndio kwanza zinaonekana kuongezeka na kwa tafsiri rahisi ni kuwa utaratibu huu haueleti tija iliyokusidiwa(mbinu imefeli).
Huyo umemtoa wapi kona bar
huu utenguaji sasa ni kama fasheni tu kwa SIZONJE..Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga, Bw. Fadhili Nkurlu kuanzia leo Julai 15, 2018
Nafasi yake inachukuliwa na Bw. Anamringi Macha aliyeteuliwa leo.
View attachment 809858
kazi kwelikweliTATIZO SIO NGOME, SHIDA NI PALE WANAPOSHAMBULIWA WATU WA ENEO MOJA KILA LAWAMA UTUMBUAJI UNAWAHUSU.
KWA MFANO KAHAMA PM ANASEMA KUNA MGOGORO WA DED NA DC, LAKINI DC ANAONEKANA NDIO TATIZO NA SIO DED U MWINGINE YEYOTE.
NIMEGUNDUA TUNASHAMBULIWA!
Wacha ni cheke... Umejibu vizuri sana... umejibu kiutu uzima....Mkuu Nichumu Nibebike, ni kweli, nimesubiri sana, na nitaendelea kusubiri sana!, hivyo inaibidi sasa niongeze bidii, niongeze mapambio, sifia, tukuza na kujipendekeza kwa nguvu sana hadi anione!.
Hapa inahitajika bidii!, ila hata kama ningekuwa mimi, huyu Fadhili ningemtumbua tuu, kwanza ni bonge la HB, pili ni mtu wa pamba kali, unapiga suti kali, designers collection all the time na kutokelezea kuliko bosi wako?!, aende tuu!.
Kwa personal ratting yangu, huyu Jamaa ndio the best dressed DC!, anavishwa na Sheria Ngowi!, hivyo mimi katika Kipindi hiki cha kusubiria, suti zangu nitajishoneshea pale Mwenge, na kutokelezea kama Kangi Lugora!.
P.
PM ANASEMA WAMEINGIA KWENYE BIASHARA, NA WAKATAKE SIDES, SASA JIULIZE KWANINI ATUMBULIWE DC, DED ABAKI. HAPA NDIPO NINAPOONA KUNA HUJUMA KWA WATU FLANI.kazi kwelikweli
Ni haki watu wapigane vikumbo.. Sio kwa msambwanda huoo khaaaaaa
Ni haki watu wapigane vikumbo.. Sio kwa msambwanda huoo khaaaaaa
Namaanisha huo msambwanda unakunywa vinywaji vzr mnoUnamaanisha kweli huo msambwanda ndio DC mpya wa kwa wanaNzengo?
Hivi huyu anatoka wapi?Anamringi Macha , alikuwa Kiongozi wa CCM makao makuu ,pia aligombea ubunge wa EALA ,kura hazikutosha
Ameteuliwa kwa Merits na sio kabila lake
Hi pia kilichoprove failure ni vigezo anavyotumia mteuaji na mtumbuajiKuteua na kutengua kila kukicha ni sera inayoonekana ku-prove failure mpaka sasa na aliefeli zaidi hapa ni muasisi wa sera/mbinu husika.
Kama utaratibu huu ungekuwa unaleta tija inayokusudiwa,basi taarifa hizi za watu kuteuliwa na kutenguliwa kila kukicha zingekuwa zinapungua siku hadi siku lakini badala yake ndio kwanza zinaonekana kuongezeka na kwa tafsiri rahisi ni kuwa utaratibu huu haueleti tija iliyokusidiwa(mbinu imefeli).
Shaban Kisu ndiye alikua DCSwedi mwinyi hajawahi kuteuliwa kuwa DC,
Utakuwa umemfananisha na Mkamia!
Kati ya uliowasema, ni DC to ndiye mteule wa Rais, wengine ni waajiriwa wa serikali walioko chini ya tume ya utumishi. Pili tambua pia kuwa kukiwa na mgogoro baina ya kiongozi na mfuasi, ni kiongozi ndiye anayetakiwa kuwa na busara zaidi kuutatua mgogor huo, siyo mfuasi.UKIANGALIA TAARIFA ZINAONYESHA PM AKISEMA KUNA UHUSIANO MBAYA KATI YA DED NA DC NA WAKUU WA VITENGO, AJABU ANAONDOLEWA DC HAO WENGINE WAANCHWA.
MY FRIEND HAO WOTE WANATEULIWA NA RAIS!!Kati ya uliowasema, ni DC to ndiye mteule wa Rais, wengine ni waajiriwa wa serikali walioko chini ya tume ya utumishi. Pili tambua pia kuwa kukiwa na mgogoro baina ya kiongozi na mfuasi, ni kiongozi ndiye anayetakiwa kuwa na busara zaidi kuutatua mgogor huo, siyo mfuasi.
ASAVALI hata nafasi ya kocha wa timu kuliko kuteuliwa na SIZONJEKazi za kuteuliwa zimekuwa kama nafasi ya kocha wa simba!!!
hata wazir mkuu, ziara yake siku moja wilaya ya kahama, kabla ya DC huyo kuondolewa kwenye nafasi yake, PM aliongelea sana viongoz wa serikali kulala bar, kufanya starehe na kulala kwenye madisco pia na kutoshirikiana vema kwenye idara zao..Huyu jamaa Fadhili ameingia kwenye Ugomvi mzito na Mkurugenzi wa Kahama Mji kisa wanagombania mwanamke mmoja Mtendaji Kata.
Ujio wa Magufuli mwezi wa 3 hapa Kahama aliwaambia wakae wamalize tofauti zao.. Lakini bado.
Hata hivyo huyu mkuu wa Wilaya ni mtu wa Starehe sana..... Gari la mkuu wa Wilaya linazurura hadi usiku wa manane.
Mkuu wa Wilaya yupo Mjini tu... Haendi Ushetu wala Msalala