Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Hapo ulipompandia jamaa kisha ukitumia kichwa chako vizuri na kushusha nondo zilizoshiba sidhani kama atakushauri tena. Comment yako inabidi tuiweke penye hansard kama bungeni.Mkuu Nichumu Nibebike, ni kweli, nimesubiri sana, na nitaendelea kusubiri sana!, hivyo inaibidi sasa niongeze bidii, niongeze mapambio, sifia, tukuza na kujipendekeza kwa nguvu sana hadi anione!.
Hapa inahitajika bidii!, ila hata kama ningekuwa mimi, huyu Fadhili ningemtumbua tuu, kwanza ni bonge la HB, pili ni mtu wa pamba kali, unapiga suti kali, designers collection all the time na kutokelezea kuliko bosi wako?!, aende tuu!.
Kwa personal ratting yangu, huyu Jamaa ndio the best dressed DC!, anavishwa na Sheria Ngowi!, hivyo mimi katika Kipindi hiki cha kusubiria, suti zangu nitajishoneshea pale Mwenge, na kutokelezea kama Kangi Lugora!.
P.