Huyo hana lolote. Nchi hii kwa sasa haina mtu "Vanguard" kama Nyerere asiye mnafiki ambaye akinena watu wana-pay attention. Hakuna, woote waliobaki ni wanafiki wanaosumbuliwa na "Guilt Conscience".Natabiri msimamo wa Mzee Mkapa ndiyo utaamua hatma ya nani mshindi kwenye mnyukano huu ndani ya CCM. Kumbukeni Mkapa ndiye alikabidhiwa nchi hii na Mwalimu.
Atakachosema Mkapa ndiyo kitakuwa hatma ya Taifa zima . Tunaisubiri kauli ya Mzee kwanza haya mengine ni mbwembwe tu.