babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Si kuna uzi unahusu rambirambi. Wacha kuharibu thread ya wengine.Oya nani ccm nitake radhi hii laaana mimi cwez kula rambi rambi
Si kuna uzi unahusu rambirambi. Wacha kuharibu thread ya wengine.Oya nani ccm nitake radhi hii laaana mimi cwez kula rambi rambi
Kweli mkuu sasa hivi nimemuacha Bashite Aongoze kwa ma ziro ziro kichwaniMkuu bora usiangalie kabisa maana mazero ndio yataongezeka zaidi ya sasa ulivyo!
Kwan rambi rambi amekula ccm au chadema.?Si kuna uzi unahusu rambirambi. Wacha kuharibu thread ya wengine.
Huwezi kuchukia kitu ambacho hukipendi. Wanaipenda sema haiwapi wanachotaka.Hivi kwanini mnaichukia sana hii tv
NotedTena paka shume
Inawezekana aiseeHuwezi kuchukia kitu ambacho hukipendi. Wanaipenda sema haiwapi wanachotaka.
Maajabu, hili nalo linahitaji matangazo!
Nchi ya ajabu, kuna haja gani ya kuita vyombo vya habari! Umuhimu ni upi? I can swear, Maprofesa hao watataka kumfurahisha kuwa tulikuwa tunaibiwa! Kuna madini mengi etc! They can not go against his prediction. na ukiona amekuwa na ujasiri wa kuita vyombo vya habari, ujue amefurahishwa! Tukumbushane uzi huu muda ukifika!Maajabu, hili nalo linahitaji matangazo!
Mna mambo nyie! Si juzi hapa thread ilitupwa wakisema ilikuwa ni changa la macho? Ama kweli wengi wenu wa jinsi ya wewe hujui utakacho...Maajabu, hili nalo linahitaji matangazo!
Na wewe utajivunia utaifa wako kweli ukiwa sirini? Au umerithi gene za kina mangungo? Maana unaona ni mara mia watanzania wakaumbuka ili mafisadi wapate ushindi...Pole safari hii tunaye anayemaanisha, kila neno lake halidondoki bure!hii report itakua kinyume na matarajio ya baba Bashite kama tu ile report ya Faru John.
Kwani sisi hatuwezi kuwashitaki? Kwanza walishajistukia kama unafuatilia...Safari hii hawana pa kuchomokea watakuwa wadogo kama piriton...Ninanusa harufu ya jambo kubwa hapa, ambalo wananchi wote tunatakiwa kuungana kama wakati wa vita. Sasa kama kuna miche ya dhahabu kwenye makontena tukio lipi litafuata? Kuna namna yeyote ya kuweza kuwashitaki wezi wetu au ni kuvunja mikataba halafu watugeuzie kibao baadae?
Huishiwi na lawama...Aibu!Hivi huyu mzee vipi? Bunge hataki tuangalie ila vitu ambavyo ni majukumu yake na wala hayahitaji live coverage ndio tuangalie
Watu wanajifanya wajuaji kwa kila kitu kumbe hawajui chochote yawezekana aliyewaroga alishakufa yaani kila kinachopita mbele yao hakifai wanadis tuIngefanywa GIZANI nadhani ungelalama zaidi ya ulivyolalama sasa.....Aliye waroga nyie SIJUI YUPO WAPI JAMANI......daaaah
wewe nawe ni mengineyo au factor 'U' katika takwimu. Yaani suala ambalo ni core [matter for] to the future of our national economy and development wewe unataka kulinganisha na mambo ya akina Msando kujiuzulu ushauri wa CEO wa chama!Maajabu, hili nalo linahitaji matangazo!