Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Wapi? Hawa hawa ambao wamemuacha Museven anatawala miongo na miongo? Ndio bunge imara hilo?
Imara kwa mapigano ya viti
Wapi? Hawa hawa ambao wamemuacha Museven anatawala miongo na miongo? Ndio bunge imara hilo?
Ufipa mna angalia pakutokea ni wapi !Nimemsikia pia.
Ila hili swala la kuingilia nchi nyingine na kuonyesha kana kwamba hawafanyi kazi vizuri kwa kweli siyo uungwana. Tanzania bado ina mapungufu mengi sana katika utendaji chini ya awamu hii. Kubadilisha Commissioners wa TRA haina maana kwmba utendaji umekuwa mzuri. Mfano haukuwa sahihi hata kama ulikuwa ni utani tu haukuwa mahali pake!!
Kama wanavyo msifu Tundu !Akae mbali na bunge la uganda watamfanya mbaya ,kule hakuna kusifu na kuabudu
Exactly huyu Magufuri amelewa madaraka anadhani kila anayeongea naye yuko chini yake. Hizi ni athari za mtu anayeishi kwenye nchi ambayo uhuru wa maoni umekandamizwaMambo kama hayo nadhani yalistahili kuzungumzwa faragha. Kumkosoa Rais mwenzako hadharani namna hiyo, nadhani haikuwa poa.
Kama wanavyo msifu Tundu !
....ufipa wanachosha sana aisseeh !Wapi? Hawa hawa ambao wamemuacha Museven anatawala miongo na miongo? Ndio bunge imara hilo?
Mheshimiwa alisema ile gesi wakubwa wamegawana sisi hatuna chetuHivi gesi yetu mtwara inavunwa?
Rais wa Tanzania, John Magufuli amemtaka Rais wa Yoweri Museven wa Uganda kuwa mkali kwa watendaji wake ambao wanakwamisha kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini humo mpaka Tanga, Tanzania.
Magufuli ametoa mfano wakati alipoingia madarakani Novemba 5, 2015 alibadilisha makamishna wakuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) watano lengo ni kuongeza ufanisi katika mamlaka hiyo.
Akizungumza wakati wa kongamano la biashara kati ya Tanzania na Uganda lililofanyika leo Ijumaa Septemba 6, 2019 jijini Dar es Salaam, Tanzania, Magufuli amesema Serikali yake ilifanya mabadiliko ya sheria ili kupunguza sehemu ya kodi kwa ajili ya mradi huo.
Amemtaka pia Rais Museven kuchukua hatua nchini kwake kwa kuwa tayari kupoteza kidogo kama Tanzania ilivyofanya ili apate kikubwa zaidi.
Pia, amemshauri kama watendaji wake ndiyo kikwazo asisite kuwaondoa na kuweka wengine.
“I wish (ninatamani) hawa watendaji wa Tanzania wangeenda Uganda na wa Uganda waje Tanzania ili ni-deal (nishughulike) nao angalau kwa mwezi mmoja tu,” amesema Rais Magufuli huku washiriki wa mkutano huo wakicheka.
Amewataka watendaji katika nchi za Uganda na Tanzania wahakikishe wanafanikisha miradi mikubwa ambayo inatengeneza ajira nyingi. Amesema watendaji wengi hawajali kwa sababu wanapata mishahara.
Kwa upande wake, Rais Museven amewataka wafanyabiashara kujadiliana kwa kina na kujibu swali linalouliza “utajiri wa mataifa unatoka wapi?” kama lilivyoulizwa na Adam Smith kwenye kitabu chake cha Wealth of Nations (Utajiri wa Mataifa).
Museven amesema suala la miundombinu ni muhimu katika kurahisisha biashara baina ya mataifa hayo kwa sababu gharama za usafirishaji wa kontena kutoka bandari ya Dar es Salaam kwenda Port Berry itakuwa Dola za Marekani 1600 badala ya Dola 4500 za sasa.
Kiongozi huyo alimhakikishia Rais Magufuli kwamba serikali yake itahakikisha bomba la mafuta linajengwa na mafuta ambayo yamekuwepo kwa miaka milioni mbili iliyopita yanapatikana kwa maendeleo ya wananchi.
View attachment 1199967
Chanzo: Mwananchi
Huyu mzee korosho imemshinda, mafuta ataweza? Lipi ameliweza angalau kwa 60% katika nchi hii??Rais wa Tanzania, John Magufuli amemtaka Rais wa Yoweri Museven wa Uganda kuwa mkali kwa watendaji wake ambao wanakwamisha kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini humo mpaka Tanga, Tanzania.
Magufuli ametoa mfano wakati alipoingia madarakani Novemba 5, 2015 alibadilisha makamishna wakuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) watano lengo ni kuongeza ufanisi katika mamlaka hiyo.
Akizungumza wakati wa kongamano la biashara kati ya Tanzania na Uganda lililofanyika leo Ijumaa Septemba 6, 2019 jijini Dar es Salaam, Tanzania, Magufuli amesema Serikali yake ilifanya mabadiliko ya sheria ili kupunguza sehemu ya kodi kwa ajili ya mradi huo.
Amemtaka pia Rais Museven kuchukua hatua nchini kwake kwa kuwa tayari kupoteza kidogo kama Tanzania ilivyofanya ili apate kikubwa zaidi.
Pia, amemshauri kama watendaji wake ndiyo kikwazo asisite kuwaondoa na kuweka wengine.
“I wish (ninatamani) hawa watendaji wa Tanzania wangeenda Uganda na wa Uganda waje Tanzania ili ni-deal (nishughulike) nao angalau kwa mwezi mmoja tu,” amesema Rais Magufuli huku washiriki wa mkutano huo wakicheka.
Amewataka watendaji katika nchi za Uganda na Tanzania wahakikishe wanafanikisha miradi mikubwa ambayo inatengeneza ajira nyingi. Amesema watendaji wengi hawajali kwa sababu wanapata mishahara.
Kwa upande wake, Rais Museven amewataka wafanyabiashara kujadiliana kwa kina na kujibu swali linalouliza “utajiri wa mataifa unatoka wapi?” kama lilivyoulizwa na Adam Smith kwenye kitabu chake cha Wealth of Nations (Utajiri wa Mataifa).
Museven amesema suala la miundombinu ni muhimu katika kurahisisha biashara baina ya mataifa hayo kwa sababu gharama za usafirishaji wa kontena kutoka bandari ya Dar es Salaam kwenda Port Berry itakuwa Dola za Marekani 1600 badala ya Dola 4500 za sasa.
Kiongozi huyo alimhakikishia Rais Magufuli kwamba serikali yake itahakikisha bomba la mafuta linajengwa na mafuta ambayo yamekuwepo kwa miaka milioni mbili iliyopita yanapatikana kwa maendeleo ya wananchi.
View attachment 1199967
Chanzo: Mwananchi
Aanze na BashiteHuyu mama ambaye ni Kamishna Mkuu wa URA akisikia hivyo sijui kama atalala leo!! Wenzake 5 wa TZ walishatumbuliwa yeye bado!
View attachment 1200035View attachment 1200035
Sina hakika kama ni hiyo Mamlaka inakwamisha ama ni sheria za nchi? Hivi M7 amesemaje kuhusu hilo?Unajua wewe Mzee Museveni TRA wako wanakukwamisha...
Huyu mtu ilibidi afundishwe mambo mengi ingawa yeye anadhani anajua kila kitu
Kwa kuwa ni zero basi naishia hapaNimemsikia pia.
Ila hili swala la kuingilia nchi nyingine na kuonyesha kana kwamba hawafanyi kazi vizuri kwa kweli siyo uungwana. Tanzania bado ina mapungufu mengi sana katika utendaji chini ya awamu hii. Kubadilisha Commissioners wa TRA haina maana kwmba utendaji umekuwa mzuri. Mfano haukuwa sahihi hata kama ulikuwa ni utani tu haukuwa mahali pake!!
Magufuli is a country bumpkin.Nimemsikia pia.
Ila hili swala la kuingilia nchi nyingine na kuonyesha kana kwamba hawafanyi kazi vizuri kwa kweli siyo uungwana. Tanzania bado ina mapungufu mengi sana katika utendaji chini ya awamu hii. Kubadilisha Commissioners wa TRA haina maana kwmba utendaji umekuwa mzuri. Mfano haukuwa sahihi hata kama ulikuwa ni utani tu haukuwa mahali pake!!
Ona sasa ulivyo mjinga! Wenzio wameongelea suala la utendaji ili hilo Bomba likamilike wananchi wapate ajira, wewe unaleta Habari za majenerali?
Unafikiri pale alikuwa ni ccm na chadema au Magufuli na Membe pale?