Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,994
- 55,126
Tanzania raha sana, halafu anakuja mtu na utafiti wake anasema watanzia hawana furaha!!!!Duu matusi yamempandisha mtu cheo walahi dunia ya Magu haiishi maajabu
Zishakwisha mjombaaaa.!!!!!!Hahahaah Zama za "unanijua Mimi Nani" zinaelekea mwisho.
Tanzania raha sana, halafu anakuja mtu na utafiti wake anasema watanzia hawana furaha!!!!
Sio Feb.. Mke wa february yuko poa sana na anajichanganya kitaa.. Huyu atakuwa labda mke wa yule jamaa aliyerudia darasa la sanaNi nani kwanza tumfahamu huyo mwenye mke jipu
Kabisa.huyo atakuwa katumwa au ni munafique daraja la kwanza
Itajulikana tuuNi nani kwanza tumfahamu huyo mwenye mke jipu
Atumbiliwe huyo Mama na Mume wake.....wamezoea kuishi kama malaika
Sio Feb.. Mke wa february yuko poa sana na anajichanganya kitaa.. Huyu atakuwa labda mke wa yule jamaa aliyerudia darasa la sana
Na ndio maana hata Ukawa siku hizo zinanyweka sanaHiki ndicho kitu kilikuwa kinakosekana Tanzania. Mtu akiwa kiongozi mfano waziri, basi familia nzima nayo inakuwa ni mawaziri. Walau sasa tutaheshimiana.
Kuna mtu alitukana RAISI akashikwa na kupelekwa mahakamani vepe uyu mama bado yupo njeHahahaah Zama za "unanijua Mimi Nani" zinaelekea mwisho.
yyan kama kutukanwa tu anapata kacheo sasa kama angepewa kichapo kabisa angepewa uRPCDuu matusi yamempandisha mtu cheo walahi dunia ya Magu haiishi maajabu
Kweli ujueyyan kama kutukanwa tu anapata kacheo sasa kama angepewa kichapo kabisa angepewa uRPC