Rais Magufuli: Askari wa Usalama Barabarani aliyetukanwa na Mke wa Waziri apandishwe cheo

Hiki ndicho kitu kilikuwa kinakosekana Tanzania. Mtu akiwa kiongozi mfano waziri, basi familia nzima nayo inakuwa ni mawaziri. Walau sasa tutaheshimiana.
Na ndio maana hata Ukawa siku hizo zinanyweka sana
 
Mkuu....
Ebu tuwekee jina la huyo waziri mwenye mke ma2c.
Then utuwekee ubuyu wa saga la askari kutukanwa, lini na wapi
 
Back
Top Bottom