Rais Magufuli atashuhudia makabidhiano ya dhahabu iliyokamatwa nchini Kenya itakayowasilishwa na Mjumbe Maalum wa Rais wa Kenya Mhe. Kenyatta leo Julai 24, 2019.
Hafla ya makabidhiano hayo itafanyika Ikulu Jijini DSM kuanzia saa 4:00 asubuhi.
Nakumbuka kusoma kuhusu hii dhahabu: kuna Mtanzania alitoka Mwanza kwa ndege ya Precision kwenda Kenya akiwa njiani kwenda Dubai. Alipofika Kenyatta International Airport alikamatwa na Mamlaka ya Mapato ya Kenya akiwa na hiyo dhahabu bila vibali. Dhahabu ikachukuliwa na hiyo Mamalaka na Mamlaka za Tanzania zikafahamishwa. Nakumbuka kusoma hivyo kwenye magazetimkuu tuweke wazi ilikamatwa vipi na imepitaje border mpaka kufika kenya? na kwanini iletwe na mjumbe wa karibu wa uhuru na si kiongozi mwandamizi wa serikali ya kenya...Hiyo dhahabu ina worth kiasi gani?
Yupo Dar es salaam ZamaniKwani Magufuli yuko Dar sasa hivi? Nilisikia kuwa eti anaogopa kurudi Dar es Salaam?
Game of chess. Before you now it, checkmate!!Has the coalition of willing (COW) changed composition by JPM replacing PK? Is UMK visit to Chato and return of “stollen gold” to JPM a silent request for TZs EPA signature?
Kata ngebe hao, kimyaaa kenya talkKila siku chadema wanapewa maumivu ya moyo kwa nini?
Nakumbuka kusoma kuhusu hii dhahabu: kuna Mtanzania alitoka Mwanza kwa ndege ya Precision kwenda Kenya akiwa njiani kwenda Dubai. Alipofika Kenyatta International Airport alikamatwa na Mamlaka ya Mapato ya Kenya akiwa na hiyo dhahabu bila vibali. Dhahabu ikachukuliwa na hiyo Mamalaka na Mamlaka za Tanzania zikafahamishwa. Nakumbuka kusoma hivyo kwenye magazeti
Na matumizi nayo yalitakiwa kuwa liveAnapokea live, kazi ipo, ila bunge gizani kweli jamaa mshamba sana ana wivu hata sura za wengine zikiwa kwenye TV.
Viongozi waandamizi wa Kenya ni wezi sana hawachelewi ku divert ndege hadi Dubai na kwenda kuiuza, hujaskia kuna waziri wa fedha Kenya kakamatwa kwa wizi wa mabilion ya hela
Ulitaka ziende live video za umberruti?hiyo nayo itakwenda live siyo??
mkuu tuweke wazi ilikamatwa vipi na imepitaje border mpaka kufika kenya? na kwanini iletwe na mjumbe wa karibu wa uhuru na si kiongozi mwandamizi wa serikali ya kenya...Hiyo dhahabu ina worth kiasi gani?
Mpe wewe uncle..since unazijuaHivi huyu JAMAA hana kazi za kufanya za Nchi