Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,261
- 1,883
Mm Nimefurahi sana kutajwa Ngowi mchaga mwenzangu Watu watujue tulivyoPatrick ngowi kulikoni Dpp wa Kenya amtaje?
Mm Nimefurahi sana kutajwa Ngowi mchaga mwenzangu Watu watujue tulivyoPatrick ngowi kulikoni Dpp wa Kenya amtaje?
ANDIKA Kiswahili, kiingereza hujui unaumba umba sentesi zisizokuwa na miguuNawewe kama unazo kazi za kufanya mbona unang'aa ng'aa macho huku jf muda wote?. umeshindwa hata kufikiria hili lipo diplomatically
Mkuu pitia jukwaa la mambo mchanganyiko kuna uzi unamuhusu huyu jamaa...Best patrick ngowi alikamatwa kenya kwa kisa gani?ni kitambo sijamuona
Upo sahihi
basi ameyumba taariHayuko sahihi,
Mbona assumption zake anasema
1g sold @ TZS 100,000/- lakini kwenye computation kaweka TZS 120,000/-?
Rais Magufuli: Nilikuwa nawaambia hapa tungekuwa sisi watu wabaya hii dhahabu wewe ungeikata huko moja kwa moja wala hela zisingekuja. Nikawaambia ningekuwa mbaya tungezungumza kwa siri wasingeona hizi hela, tungegawana. Wangebaki kuandika kwa magazeti ila hela imeliwa
Nini maana ya hii sentensi
Du mnaumia sanaSifa zinatafutwa kwa nguvu awamu hii kuliko kawaida.
Wa sasa hivi hawawezi kujiuzulu,Naunga mkono hoja, sasa tunachosubiri sio kusubiria ni dhahabu ya nani, bali walioipitisha toka Mwanza hadi Kia undected halafu kuja kukamatiwa Nairobi!.
Ingekuwa ni enzi za Nyerere, saa hizi saa nyingi barua za Mawaziri wawili zingeishatua Meza kuu!. Sijui hawa watu wanasubiri nini au mpaka kitokee nini ndipo wawajibike?!.
P.