hjayhals
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 768
- 558
Ni nani haswa unamtetea hapa? Wananchi kudanganywa kuwa raisi ameshiriki mkutano ndo jambo zuri kwako? Hebu tulizana ndugu.Siasa ni upumbavu fulani hivi sasa nagundua. Walimtukana Kikwete, wakamwita dhaifu, akamaliza muda wake, sasa ni kumtukana Magufuli kwenda mbele.
Ninachokiona ni kwamba, wakosoaji wa kisiasa lengo lao si maendeleo ya watanzania, Bali wanatafuta zamu ya kutawala, tunaoshabikia siasa yatupasa kuwa makini. Unawezaji mtu kuuliza walitumia lugha gani!, ulitaka watumie lugha gani! Mimi ninachojua lengo la lugha yoyote ni kuwasiliana. Kwa hiyo walichokifanya ni kuwasiliana hata ingekuwa ni kwa lugha ya alama. Wanaofanya ujinga huu wanadhalilisha hata upinzania wenyewe.