beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akishiriki mkutano wa 21 wa kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika leo tarehe 27 Februari, 2021 kwa njia ya mtandao.
Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali
Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali