Rais Magufuli anazidi kuthibisha sio mwanasiasa

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,296
Habari JF,

Huyu jamaa namcheki tangia alipokuwa President, ukiangalia mambo yake na maamuzi yake mfano bomoa bomoa, ban ya safari za nje, matumizi mengine kwa sana n.k
lakini hili la kuwafungia SAHARA MEDIA GROUP ambao wanamiliki star tv, rfa na kiss fm ambao walifanya juhudi kubwa sana katika kumpatia magufuli kura nyingi za kanda ya ziwa.

imeonyesha huyu jamaa anafanya anachokiamini bila kujali kua itamjengea chuki kutoka kwa wananchi wanyonge (bomoa bomoa) hivyo kumpunguzia kura
au kumtengenezea maadui wenye nguvu kubwa na ushawishi kwa wapiga kura (ban ya media giants kama Sahara).

Huyu jamaa sio mwanasiasa kabisa, maana kanuni moja kubwa ya siasa unatakiwa uwe double-faced (mnafiki), ili uhakikishe unawafurahisha wapiga kura, na pia wakati huo huo uhakikishe huwaudhi vigogo wenye nguvu kubwa.

Jamaa asipoingiliwa na hawa wastaafu sana nadhani ataendelea hivi hivi.

Nampa big up.
 
Acha awafungie walizidi kiherehere utazani ccm ndo bwana wao sasa acha waisome no
 
Hujielewi wew inawezekana tcra wamevifungia ila bado vipo hewani kutokana na ahadi iliyotolewa kipindi cha kampeni pale Mwanza ahadi ni Deni acha kusifia ujinga
 
Uwe unafuatilia mkuu ni kuanzia tarehe 18 January 2016 (Kesho)

Sawa.

Lakini siyo kwamba watatimiza masharti kufikia hiyo tarehe na wataendelea kuwa hewani?

Watu wanaleta mada kwa kutumia wakati uliopona siyo wakati ujao.

Watavifungia siyo wamefungiwa.

Si ingefaa tusubiri na kushuhudia kuzimwa kwa hizo station ndipo tushabikie?
 
Hujielewi wew inawezekana tcra wamevifungia ila bado vipo hewani kutokana na ahadi iliyotolewa kipindi cha kampeni pale Mwanza ahadi ni Deni acha kusifia ujinga
ni kuanzia j3 usiku, mkuu subiri ifike halafu isifungiwe ndio utukane
 
Naunga mkono hoja , lakini pia ofisi ya chadema pale ufipa ni mbaya mno napendekeza Mbowe apunguziwe mshahara, pia na ile kodi aliyopata baada ya kuuza chadema kwa lowasa nayo iwekwe wazi ili chama kijenge ofisi nzuri.

Ni aibu chama kina miaka 24 lkn ofisi yake utafikili ni bafu.



Wenu kinda la chadema
 
c
Naunga mkono hoja , lakini pia ofisi ya chadema pale ufipa ni mbaya mno napendekeza Mbowe apunguziwe mshahara, pia na ile kodi aliyopata baada ya kuuza chadema kwa lowasa nayo iwekwe wazi ili chama kijenge ofisi nzuri.

Ni aibu chama kina miaka 24 lkn ofisi yake utafikili ni bafu.



Wenu kinda la chadema
chama si nyumba bali watu na sera
 
Kuna marafiki wawili walikua pamoja na kusoma pamoja ila mmoja aliendelea na masomo ya Juu wakaachana na mwingine akawa mfanya biasara,
Siku moja yule mfanya biashara alifanya kosa la kisheria akafikishwa mahakamani.. Akafikishwa mahakamani, Ahmad akamuona Hakimu ni yule Rafiki yake mkubwa na hawakuonana siku nyingi basi alifurahi akijua Hakimu atamuachia huru kisa ni rafiki yake... mambo hayakuwa hivyo Hakimu alimuhukumu rafiki yake kifungo cha mwaka mmoja au faini hakimu akafunga kesi yule rafiki yake alilia sana hakimu alitoka nje kimya kimya na yule Rafiki yake alishangazwa kahukumiwa rakini yupo huru nje akakutana na rafiki yake kipenzi akaanza kumlaumu kuwa hana urafiki wa dhati kwa kumuhukumu rafiki yake... Hakimu akamuambia nimetenda haki na nimekulipia faini usifungwe rafiki yangu... lakini yule RAFIKI yake ilimuuma sana na urafiki ukaisha...

Sasa kama Magufuli kwa upande wangu yupo sawa kama Dialo halipi kodi ipasavyo na huku ana ahadi ya neema kutoka kwa Magufuli basi ajipime kwanza... nadhani Star tv haitafungiwa am sure Magufuli anaweza hata akalipa kwa pesa zake Mwenyewe kama yule Hakimu ili kuutunza urafiki wao na kama Dialo ataona amedhalilishwa ni kivyake ni bora kuwa na Rafiki Mwerevu kuloko Mjinga...
 
Hiyo Star TV muonekano wa Picha zake ni mbaya sana bora wangebaki analogy
 
habari jf
huyu jamaa namcheki tangia alipokuwa President, ukiangalia mambo yake na maamuzi yake mfano bomoa bomoa, ban ya safari za nje, matumizi mengine kwa sana n.k
lakini hili la kuwafungia SAHARA MEDIA GROUP ambao wanamiliki star tv, rfa na kiss fm ambao walifanya juhudi kubwa sana katika kumpatia magufuli kura nyingi za kanda ya ziwa
imeonyesha huyu jamaa anafanya anachokiamini bila kujali kua itamjengea chuki kutoka kwa wananchi wanyonge (bomoa bomoa) hivyo kumpunguzia kura
au kumtengenezea maadui wenye nguvu kubwa na ushawishi kwa wapiga kura (ban ya media giants kama sahara)
huyu jamaa sio mwanasiasa kabisa, maana kanuni moja kubwa ya siasa unatakiwa uwe double-faced (mnafiki), ili uhakikishe unawafurahisha wapiga kura, na pia wakati huo huo uhakikishe huwaudhi vigogo wenye nguvu kubwa

jamaa asipoingiliwa na hawa wastaafu sana nadhani ataendelea hivi hivi
nampa big up
maelezo yoooote hayo ni pumba tupu. achana na Magufuli mzee humuwezi. sio saiz yako. wewe nenda kafanye siasa unazotaka. kwa hiyo ungekuwa wewe ungewasamehe woote hao wasilipie leseni zao tangu mwaka juzi sio.?? nakushauri uhame nchi utafute ambayo inafanya siasa za kulambana lambana kama unazotaka
 
Sawa.

Lakini siyo kwamba watatimiza masharti kufikia hiyo tarehe na wataendelea kuwa hewani?

Watu wanaleta mada kwa kutumia wakati uliopona siyo wakati ujao.

Watavifungia siyo wamefungiwa.

Si ingefaa tusubiri na kushuhudia kuzimwa kwa hizo station ndipo tushabikie?

Nafikiri hili ndilo la MSINGI zaidi.
 
Sawa.

Lakini siyo kwamba watatimiza masharti kufikia hiyo tarehe na wataendelea kuwa hewani?

Watu wanaleta mada kwa kutumia wakati uliopona siyo wakati ujao.

Watavifungia siyo wamefungiwa.

Si ingefaa tusubiri na kushuhudia kuzimwa kwa hizo station ndipo tushabikie?
Kama itakuwa wamelipa kesho, haitalazimika kuzimwa
 
Back
Top Bottom