Bora ya TLS wanagombea hiyo ndo professional body pekee inayojisimamia
Anakaa na Matokeo?Nimeshangaa sana Magufuli anavyoleta politics kwenye Professions, hivi unakaaje na matokeo muda wote huu?
Anakaa na Matokeo?
Hizi teuzi mpaka miaka mitano iishe basi tutakuwa na viwonder lukuki
It's pathetic
Waste of time and resources!
Hongera CPA (T)afadhali tupate vyeti vyetu sasa loh tumesubiri tumechoka.
Kuwa dokta au prof,si kigezo cha utendaji sahihi,hivo ni vyeo vya kwenye makaratasiTuone wasomi watatufikishaaaa! Nimwendo wama pro sasa tunataka matokeo
huwezi elewa haya mambo umri wako bado mdogo sana..Hizi teuzi mpaka miaka mitano iishe basi tutakuwa na viwonder lukuki
It's pathetic
Waste of time and resources!