Video: Rais Magufuli Ampigia Simu Neema Mwita wambura, Ampeleka Hospitali

Huyu ndo rais wa wanyoge bhana!!!
TZ ina watu milioni zaidi ya 45 na kuna watu wengi wenye matatizo kama hayo kinachotakiwa ni mpango/program maalum siyo cheap sympath kama hiyo na msululu wa vyombo vya habari kwa ajili ya sifa ya mtu mmoja.

Nenda Muhimbili uone wajawazito na wakinamama wanavyozuiwa kuondoka kwa kudaiwa madeni ya kulazwa /kitanda kwa ajili ya ugonjwa na sio starehe na ndugu wanazuiwa kuchukua maiti zao mpaka walipe madeni ya marehemu alipokuwa mgonjwa.

Utu umeondoka kilichobaki ni makusanyo tu.Tafsiri ya mnyonge sijui ni kitu gani au haijaeleweka!
 
Wakati mwingine tuwe watu wa kushuru rais kafanya kile tulichotumwa na mungu tupendane tunaishi kwa uweza wake
 
Tunahitaji Hospitali zenye all facilities siyo kudanganywa na vijisenti.

Mnajenga uwanja wa ndege Chato usio na faida lakini hospitali zetu hazina chochote ndiyo mnadanganyia watu masikini Leo??

Hakika bila Elimu Watanzania tutaendelea kuwa masikini.
Tutafakari........!
 
Back
Top Bottom