Rais Magufuli ameona anguko lake 2020, sasa anataka kujisafisha kwa kina Kikwete

H.T.P

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
1,169
1,298
Magufuli aliingia kwa mbwembwe na dharau ikulu akifikiri kwamba anajua kila kitu na anaweza fanya kila kitu bila waliomtangulia.

Amekua akiwadhihaki na kuwakejeli hadharani bila kulinda utu wao na heshima waliyoitengeza kwa jasho, sasa Magufuli ameona siku zinavyozidi kwenda, anazidi kupoteza mvuto ambao alikua anautengeneza kwa kudhalilisha waliomtangulia bila kujua walifanyaje wakadumu Magogoni miaka (10)

Magufuli amejua hana sifa tena yakuendelea kutawala, amejua 2020 either chama kisimchague na akipitishwa, anahukumiwa na wananchi, sasa akijua nguvu aliyonayo mama Salma anaamua kumtumia ili amvushe tena 2020.

Watanzania huu ni unafiki uliopitiza, na Magufuli hana nia nzuri na hii nchi tukifanya kosa tukampa awamu ya pili haitakua tu (mwafaaa) itakua (kufeni kabisa)

Kampeni zimeanza na Magufuli hana jinsi yoyote ta kuwashawishi watanzania kwani, Tanzania ya viwanda haitakuwepo, waalimu wataendelea kuwa duni, elimu itakua mbovu zaidi ya 1960, mishahara ya wafanyakazi isipokua ya jeshi tu mingine itakua duni kabisa, biashara nyingi zitakua zimekufa, sasa anajihami kwa kuandaa watu Wa kumpigia tena kampeni.

Tushikamane wote tumwambie Magufuli tunataka uchumi Wa viwanda, Elimu bora, Ajira serikalini, mazingira bora ya kufanyia biashara, masoko, bila hivyo lazima pamoja na ujanja anaotumia sasa, lazima tummalize 2020.

Tukifanya kosa akapita tena hali ya sasa itakua mbaya Mara mia moja, kama huamini? tujaribu tuone
 
Magufuli aliingia kwa mbwembwe na dharau ikulu akifikiri kwamba anajua kila kitu na anaweza fanya kila kitu bila waliomtangulia.

Amekua akiwadhihaki na kuwakejeli hadharani bila kulinda utu wao na heshima waliyoitengeza kwa jasho, sasa Magufuli ameona siku zinavyozidi kwenda, anazidi kupoteza mvuto ambao alikua anautengeneza kwa kudhalilisha waliomtangulia bila kujua walifanyaje wakadumu Magogoni miaka (10)

Magufuli amejua hana sifa tena yakuendelea kutawala, amejua 2020 either chama kisimchague na akipitishwa, anahukumiwa na wananchi, sasa akijua nguvu aliyonayo mama Salma anaamua kumtumia ili amvushe tena 2020.

Watanzania huu ni unafiki uliopitiza, na Magufuli hana nia nzuri na hii nchi tukifanya kosa tukampa awamu ya pili haitakua tu (mwafaaa) itakua (kufeni kabisa)

Kampeni zimeanza na Magufuli hana jinsi yoyote ta kuwashawishi watanzania kwani, Tanzania ya viwanda haitakuwepo, waalimu wataendelea kuwa duni, elimu itakua mbovu zaidi ya 1960, mishahara ya wafanyakazi isipokua ya jeshi tu mingine itakua duni kabisa, biashara nyingi zitakua zimekufa, sasa anajihami kwa kuandaa watu Wa kumpigia tena kampeni.

Tushikamane wote tumwambie Magufuli tunataka uchumi Wa viwanda, Elimu bora, Ajira serikalini, mazingira bora ya kufanyia biashara, masoko, bila hivyo lazima pamoja na ujanja anaotumia sasa, lazima tummalize 2020.

Tukifanya kosa akapita tena hali ya sasa itakua mbaya Mara mia moja, kama huamini? tujaribu tuone
Angekuja kwa wananchi ndio kimbilio.. Siyo kuchagua mtu mmoja mmoja akifikiri itasaidia... Jibu liko kwa wananchi.. Ni jukumu la upinzani, kuonyesha kwamba ...KIJANI YEYOTE HATA AKIJA NANI NI WALEWALE. Ni wa kuondolewa tu Period.
 
KWANI KIKWETE ALIFANYA NINI KIKUBWA? AU UNADHANI UTEUZI WA MAMA KIKWETE UTAONGEZA NINI?
Mkuu nilicho taka kuandika sio kumsifia Kikwete, usinikishe maneno!!!
Au na wewe ni kama Bashite!!!!
 
Mama salma akikubali hicho kiti ni fedhaha sana kwa jk. Magu alimsimanga sana na kumshusha sana. Ikiwa mama salma nafasi aliyokuwa nayo ni ya juu zaidi ya hiyo ya kuteuliwa. Ataweza kupewa udhalilishaji ambao utakuwa ni mbaya sana. Siku siyo nyingi mwanasiti ataweza kutoa kauli za kejeli juu ya wateuliwa wake,je, familia ya jk itajisikiaje? Kwa nini asiwe kama mama anna,mama maria,mama siti? Kwani marupurupu ya mumewe hayawatoshi? Ningekuwa riz ningemwambia mama achana na haya mambo utaenda kujitafutia aibu
 
Huyu mama kajishushia sana kukubali uteuzi wa namna hiyo. Cheo chake kilikuwa juu sana " first lady" eti leo mbunge wa kuteuliwa!!!!!! Maajabu. Angeuliza wataalamu wa protocol na uongozi angepata ushauri mzuri. Nasema alichofanyiwa siyo sahihi ni udhalilishaji
Aisee Aibu Toka first Lady Adi Ubunge wa Kupewa.
 
Back
Top Bottom