stinger_bug
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 856
- 1,715
Vichaa wapo wengi ssna CCM
Umenena vyema. Leo hao waliokuwa hawaaminiki Rais Magufuli amefanya wakaaminika wameanza kumporomoshea matusi na kejeli!!! Mungu akupe moyo mkuu Rais Magufuli. Uwe kama baba wa yule mwanampotevu ktk Biblia.Nakumbuka 2015 tulikua na Chagua Magufuli sio chagua CCM kwasababu CCM ilikua haiaminiki tena.
Ccm kama ilikuwa hoi ni nani walioivusha mpaka ikashinda uchaguzi wa 2015?Watu wote tunafahamu mwaka 2015 kuvaa sare ya CCM ilikuwa kama laana maana unaweza kuzomewa mpaka ukaingia nyumba yoyote kujificha.
Ma Kada wa CCM wote wanafahamu ilikuwa unaweka sare kwenye mkoba na unavalia Karibu na uwanja wa mkutano.
Ndani ya miaka Karibu minne Rais Magufuli umeiletea heshima kubwa sana CCM na umetukanwa mara nyingi kwa kuibeba CCM kwenye nyanja zote.
Mfano kwenye ajira makada wengi wamepata ajira kuliko ilivyowahi kutokea. Lumumba ilisafishwa yoooteeee!!!
Mhe. Magufuli umefanya mengi ambayo yamekiletea heshima chama cha mapinduzi. Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi CCM ni kishindo kikubwa haijapata kutokea. Serikali yako imefanya wonders.
Ni bora uchukiwe na wachache na kupendwa na wengi. 2020 wakae pembeni waone utakavyozoa kura.
Pole sana Rais Magufuli kwa dharau na kebehi. Hata Yesu na Mtume walidharauliwa lakini wakawa Mitume wakubwa. Endelea kumuamini Mungu hakika atawaweka adui zako chini ya miguu yako.
Queen Esther
Umenena vyema. Leo hao waliokuwa hawaaminiki Rais Magufuli amefanya wakaaminika wameanza kumporomoshea matusi na kejeli!!! Mungu akupe moyo mkuu Rais Magufuli. Uwe kama baba wa yule mwanampotevu ktk Biblia.
Queen Esther