Kuna utajiri wa aina nyingiJPM atashinda kwa kishindo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huu uzi Lumumba wameutunga wao kisha wakaitana washindane kutoa pongezi?
Ndugu Esther,
Mtu kama sio muungwana hua anasahau upesi sana.
Alipochaguliwa ndugu kinana kuwa KM wa CCM, chama kilikuwa na hali gani.
Jee tumesahau yeye na Nape walipotumia miaka miwili kutembea nchi nzima kila kitongoji kukifufua chama, kazi iliyowarudishia imani wananchi, wakati huo Mheshimiwa Magufuli akiwa waziri na anakula bata kwa mrija.
Jee tumesahau walivyofanya kampeni za ajabu na kuhamasisha wapiga kura wamchagua Mheshimiwa Magufuli.
Mbona tunakuwa wasahaulifu kama mzazi. Na wanafiki.
Tuwe wakweli na wapenda haki.
Upinzani nani ni msafi tumsapoti 2020?Wacha ujinga wewe! ccm ni ile ile ya wahuni, majizi, mafisadi na waongo wa kutupa na WAUAJI pia.
Magufuli alikuwa na ataendelea kuwa kiongozi mmja very systematic and well determined ! He was and still is a consistent leader! He know where and what to speak na kwa wakati gani! Alitimiza wajibu wake mkuu kipindi hicho !Ndugu Esther,
Mtu kama sio muungwana hua anasahau upesi sana.
Alipochaguliwa ndugu kinana kuwa KM wa CCM, chama kilikuwa na hali gani.
Jee tumesahau yeye na Nape walipotumia miaka miwili kutembea nchi nzima kila kitongoji kukifufua chama, kazi iliyowarudishia imani wananchi, wakati huo Mheshimiwa Magufuli akiwa waziri na anakula bata kwa mrija.
Jee tumesahau walivyofanya kampeni za ajabu na kuhamasisha wapiga kura wamchagua Mheshimiwa Magufuli.
Mbona tunakuwa wasahaulifu kama mzazi. Na wanafiki.
Tuwe wakweli na wapenda haki.
Halafu hawa hawa wazee wamesahau Fatma Karume na Yule changu wa Sarungi wanamtukana Magufuli lakini yeye kajikalia kimya anafanya kazi zake wala hajawahi kuwashtakia wala kuwajibu. Hawa wazee ni kweli walishiriki kuivuruga sana hii Nchi na wasijibanze kinafiki watoke nje waseme. Majizi makubwa. Kinana kamaliza tembo wetu kadhibitiwa basi ishakuwa nongwa. Magufuli tunakuunga mkono kanyaga twende.
Ila inasikitisha sana kijana kama Nape kumtukana mtu mzima ka baba yake Dr Magufuli, tena anamzidi umri, elimu na mamlaka. Nape kuna pahala malezi hayakuwa sawa.
Wasiomtaka
Wakalambe malimao.
Kuna mtu mmoja baada ya kujiita kichaa hatimaye kajipachika jina lingine Mfungwa Mtarajiwa, tunamdai damu za watu wengi sana damu ya Lissu, ya Alphonce Mawazo, Ben Saanane, Azory Gwanda, Aquilina na maelfu kwa mamia ya wananchi waliouawa pasipo na hatia huko Kibiti na Lindi...Watu wote tunafahamu mwaka 2015 kuvaa sare ya CCM ilikuwa kama laana maana unaweza kuzomewa mpaka ukaingia nyumba yoyote kujificha.
Ma Kada wa CCM wote wanafahamu ilikuwa unaweka sare kwenye mkoba na unavalia Karibu na uwanja wa mkutano.
Ndani ya miaka Karibu minne Rais Magufuli umeiletea heshima kubwa sana CCM na umetukanwa mara nyingi kwa kuibeba CCM kwenye nyanja zote.
Mfano kwenye ajira makada wengi wamepata ajira kuliko ilivyowahi kutokea. Lumumba ilisafishwa yoooteeee!!!
Mhe. Magufuli umefanya mengi ambayo yamekiletea heshima chama cha mapinduzi. Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi CCM ni kishindo kikubwa haijapata kutokea. Serikali yako imefanya wonders.
Ni bora uchukiwe na wachache na kupendwa na wengi. 2020 wakae pembeni waone utakavyozoa kura.
Pole sana Rais Magufuli kwa dharau na kebehi. Hata Yesu na Mtume walidharauliwa lakini wakawa Mitume wakubwa. Endelea kumuamini Mungu hakika atawaweka adui zako chini ya miguu yako.
Queen Esther
JPM atashinda kwa kishindo
kwahiyo ni sawa kwa Bashite kumpiga Warioba??, ni sawa na msiba kumtukana Membe, makamba na kinana??. acha kuwaza kikondoo wewe. aliyeanzisha vurugu za kutukanana ni Nape??Ila inasikitisha sana kijana kama Nape kumtukana mtu mzima ka baba yake Dr Magufuli, tena anamzidi umri, elimu na mamlaka. Nape kuna pahala malezi hayakuwa sawa.
Watu wote tunafahamu mwaka 2015 kuvaa sare ya CCM ilikuwa kama laana maana unaweza kuzomewa mpaka ukaingia nyumba yoyote kujificha.
Ma Kada wa CCM wote wanafahamu ilikuwa unaweka sare kwenye mkoba na unavalia Karibu na uwanja wa mkutano.
Ndani ya miaka Karibu minne Rais Magufuli umeiletea heshima kubwa sana CCM na umetukanwa mara nyingi kwa kuibeba CCM kwenye nyanja zote.
Mfano kwenye ajira makada wengi wamepata ajira kuliko ilivyowahi kutokea. Lumumba ilisafishwa yoooteeee!!!
Mhe. Magufuli umefanya mengi ambayo yamekiletea heshima chama cha mapinduzi. Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi CCM ni kishindo kikubwa haijapata kutokea. Serikali yako imefanya wonders.
Ni bora uchukiwe na wachache na kupendwa na wengi. 2020 wakae pembeni waone utakavyozoa kura.
Pole sana Rais Magufuli kwa dharau na kebehi. Hata Yesu na Mtume walidharauliwa lakini wakawa Mitume wakubwa. Endelea kumuamini Mungu hakika atawaweka adui zako chini ya miguu yako.
Queen Esther