Mkuu hivi vitu vilitakiwa kufanywa zaidi ya miaka 20 ilopita pro ccm mlipinga sana selekali kupunguza matumizi yasiyo ya Lazima na yale ya anasa. Kwakweli mnatuchelewesha kupiga hatua.Daaah! Dkt Magufuli unatupa raha huku mitaani. Jina lako linatajwa kila sekunde. Wananchi wanazidi kukupenda mhe rais. Hakika tumeokota dodo kwenye mbuyu kukupata wewe kama rais wetu.
Kumbukumbu zangu zinaniambia kwaka jana kiasi cha Bilioni 3 kilitumika kuazimisha siku ya UKIMWI. Sasa sijui mwaka huu walipanga kutupiga kiasi gani? Pesa ya mlipa kodi ilikuwa inafanyia mambo ya kipuuzi tu.
Pia nakumbuka wakati wa kampeni uliahidi kufuta maazimisho yote ikiwemo ya maji? mbio za mwenge nk Futa mhe rais...wananchi tupo nyuma yako.