johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,877
Mbunge wa Mtama mh Nape amesema Rais Magufuli haangalii itikadi ya vyama ndio maana makao makuu ya halmashauri ya Lindi vijijini ameyapeleka Mtama inayoongozwa na diwani wa Chadema.
Hivyo Nape amewataka wanachadema wa Mtama kuiunga mkono CCM ambayo imewajali.
Chanzo:TBC
----
Rais Magufuli ameagiza Halmashauri ya Lindi Vijijini kuitwa Halmashauri ya Mtama na Makao Mkuu ya Halmashauri hiyo ihamishiwe Mtama kutoka Mjini
Amesema ndani ya siku 15, Viongozi wa Halmashauri hiyo watoke Mjini na kuhamia Mtama na hiyo ndio italeta maendeleo kwani kama ni giza ndio watashughulikia umeme haraka
Aidha, amesema “Najua kulikuwa na mabishano, wapo wanaotaka Makao Makuu yaende Subi, wapo waliotaka yaende Mchinga, wapo waliotaka yaende Rondo, kila mmoja alitaka”
Amefafanua, “Kwa kuwa mimi ndio Rais, na mimi huwa napasua katikati kwa kufuata haki nimetoa maagizo, Manispaa ya Lindi itachukua eneo lake iliyokuwa nalo mpaka Mnazi Mmoja au Mingoyo na kuongezewa eneo la Mchinga.”
Hivyo Nape amewataka wanachadema wa Mtama kuiunga mkono CCM ambayo imewajali.
Chanzo:TBC
----
Rais Magufuli ameagiza Halmashauri ya Lindi Vijijini kuitwa Halmashauri ya Mtama na Makao Mkuu ya Halmashauri hiyo ihamishiwe Mtama kutoka Mjini
Amesema ndani ya siku 15, Viongozi wa Halmashauri hiyo watoke Mjini na kuhamia Mtama na hiyo ndio italeta maendeleo kwani kama ni giza ndio watashughulikia umeme haraka
Aidha, amesema “Najua kulikuwa na mabishano, wapo wanaotaka Makao Makuu yaende Subi, wapo waliotaka yaende Mchinga, wapo waliotaka yaende Rondo, kila mmoja alitaka”
Amefafanua, “Kwa kuwa mimi ndio Rais, na mimi huwa napasua katikati kwa kufuata haki nimetoa maagizo, Manispaa ya Lindi itachukua eneo lake iliyokuwa nalo mpaka Mnazi Mmoja au Mingoyo na kuongezewa eneo la Mchinga.”