Kichaa kama Mimi alimaanisha anatoa maamuzi bila kuogopa kitu. Hakuna kichaa aliyekubali kuwa yeye ni kichaa tangu dunia iumbwe. Sasa kumwita MTU aliyeaminiwa na watanzania mln 50 awaongoze unamwita kichaa it very unbecoming. Andikeni hoja sio upuuzi Wa kumwita first citizen eti ni kichaa. Kumbukeni baba Wa taifa alupowaambia akiba Mrema( I can not leave my country to the dogs) .Wapinzani wakamsakama eti amewaita wao ni mbwa. Mwalimu alishangaa sana maana ya dogs pale ni watu Wa ovyo hawana ukomavu Wa sasa bado. Na hili Mheshimiwa Rais lina maa hiyo hiyo ambaye muelewa hawezi kuwa ndicho alichomaanisha Nashauri hizi Quotes ambazo haziakisi ukweli Wa aliyelitamka tuache labda kama wameingia humu J F watu wenye bongo duni( small minds