Rais kukaa Chato ni gharama kwa Taifa

Toka Rais Magufuli ameingia madarakani amekuwa na desturi ya kurudi nyumbani kwao Chato kila kipindi cha likizo yake kinapowadia.

Ni jambo zuri sana, ukilinganisha na wale waliokuwa kila kukicha wanasafiri kwenda nje.

Lakini swali kubwa lipo hapa, Ikulu ipo Dodoma, wafanyakazi wote wa ofisi ya Rais kwa sasa wanamakazi Dodoma, je anapoenda Chato gharama za malazi, chakula na fedha ya kujikimu nani analipia?

Gharama za kusafirisha polisi, wanajeshi na wafanyakazi wote wanaoambatana nae kwenda Chato nani analipia?

Tunakazana sana kulipa kodi kizalendo basi matumizi ya kodi zetu nayo yawe ya kizalendo. La sivyo tutatafutana ubaya.
Yaani wabongo hamna jema, mtu anaenda zake likizo nyumbani kwao kama watumishi wengine inakuwa shida, kwa hiyo akiwa Rais hatakiwi kwenda likizo? Kama angeenda likizo ughaibuni angalau mgepiga kelele, lakini yupo Chato mkoa wa Geita. Au Chato siyo Tanzania?

Gharama ziko palepale awe Dodoma au mkoa mwingine kwa sababu popote alipo lazima aambatane na wasaidizi wake.
 
Yaani wabongo hamna jema, mtu anaenda zake likizo nyumbani kwao kama watumishi wengine inakuwa shida, kwa hiyo akiwa Rais hatakiwi kwenda likizo? Kama angeenda likizo ughaibuni angalau mgepiga kelele, lakini yupo Chato mkoa wa Geita. Au Chato siyo Tanzania?

Gharama ziko palepale awe Dodoma au mkoa mwingine kwa sababu popote alipo lazima aambatane na wasaidizi wake.

Mapumziko gani anapokea marais anafanya shughuli zote. Amuachie basi makamu tujue moja
 
Nimekuelewa vizuri sana tu lakini mtu anayefit kuwa rais hawezi kuwa anasaka utimamu kila baada ya miezi miwili hata kama ni muajiriwa hapo ungetimuliwa
Una uhakika kuwa kila baada ya miezi 2 anaenda Chato, au unaropoka tu?
 
Toka Rais Magufuli ameingia madarakani amekuwa na desturi ya kurudi nyumbani kwao Chato kila kipindi cha likizo yake kinapowadia.

Ni jambo zuri sana, ukilinganisha na wale waliokuwa kila kukicha wanasafiri kwenda nje.

Lakini swali kubwa lipo hapa, Ikulu ipo Dodoma, wafanyakazi wote wa ofisi ya Rais kwa sasa wanamakazi Dodoma, je anapoenda Chato gharama za malazi, chakula na fedha ya kujikimu nani analipia?

Gharama za kusafirisha polisi, wanajeshi na wafanyakazi wote wanaoambatana nae kwenda Chato nani analipia?

Tunakazana sana kulipa kodi kizalendo basi matumizi ya kodi zetu nayo yawe ya kizalendo. La sivyo tutatafutana ubaya.
Kwa Katiba yetu ya sasa Rais anaweza kuamua kufanya lolote linalompendeza bila kuwajibishwa sasa au baada ya kutoka madarakani.
 
Kwa upande wa gharama sidhan Kama ni issue, Kama ni polisi hata chato wapo. Jamaa hajawahi kusafiri hivyo ameokoa billions. It's a minor issue guys

Wakati JK anasafiri sana nje, kilio chetu kilikuwa ni safari nyingi zisizo na tija ambazo zilikuwa hela za umma. Lakini Magufuli naye ana matumizi mabaya, japo niya humuhumu nchini. Alichobadili ni aina ya ufujaji, lakini sio ufujaji. Labda tukubaliane kuwa ufujaji sio tatizo, bali tatizo ni unafujia wapi.
 
sema unaona wivu kwa kuwa kitega uchumi chako hakiko ukanda huo wa Chato, kingekuwa upande huo nadhani ungepongeza
 
Toka Rais Magufuli ameingia madarakani amekuwa na desturi ya kurudi nyumbani kwao Chato kila kipindi cha likizo yake kinapowadia.

Ni jambo zuri sana, ukilinganisha na wale waliokuwa kila kukicha wanasafiri kwenda nje.

Lakini swali kubwa lipo hapa, Ikulu ipo Dodoma, wafanyakazi wote wa ofisi ya Rais kwa sasa wanamakazi Dodoma, je anapoenda Chato gharama za malazi, chakula na fedha ya kujikimu nani analipia?

Gharama za kusafirisha polisi, wanajeshi na wafanyakazi wote wanaoambatana nae kwenda Chato nani analipia?

Tunakazana sana kulipa kodi kizalendo basi matumizi ya kodi zetu nayo yawe ya kizalendo. La sivyo tutatafutana ubaya.
Ameenda kujenga Kwao Mkuu...

Anajenga hospitali

Anajenga Vyuo mbalimbali

Amejenga bandari

Anajenga Uwanja mkubwa wa michezo

Anajenga Ofisi mbalimbali za Umma

Ana Shughuli nyingi za Ujenzi lafa huyu😀
 
Adjustments.jpg
 
Toka Rais Magufuli ameingia madarakani amekuwa na desturi ya kurudi nyumbani kwao Chato kila kipindi cha likizo yake kinapowadia.

Ni jambo zuri sana, ukilinganisha na wale waliokuwa kila kukicha wanasafiri kwenda nje.

Lakini swali kubwa lipo hapa, Ikulu ipo Dodoma, wafanyakazi wote wa ofisi ya Rais kwa sasa wanamakazi Dodoma, je anapoenda Chato gharama za malazi, chakula na fedha ya kujikimu nani analipia?

Gharama za kusafirisha polisi, wanajeshi na wafanyakazi wote wanaoambatana nae kwenda Chato nani analipia?

Tunakazana sana kulipa kodi kizalendo basi matumizi ya kodi zetu nayo yawe ya kizalendo. La sivyo tutatafutana ubaya.
Mambo mengine shika jembe kalime. Au nawewe nenda kwenu kwani kuna anaye kunyima?
 
Kila mtumishi wa serikali ana haki ya kupata likizo na kwenda atakapo. Tuna bahati anaenda chato, angeweza kwenda hawaii ambako gharama ingekua kubwa zaidi.
Labda kama kubana matumizi rais ajaye awe mgogo ili likizo asiende mbali na dodoma
 
Toka Rais Magufuli ameingia madarakani amekuwa na desturi ya kurudi nyumbani kwao Chato kila kipindi cha likizo yake kinapowadia.

Ni jambo zuri sana, ukilinganisha na wale waliokuwa kila kukicha wanasafiri kwenda nje.

Lakini swali kubwa lipo hapa, Ikulu ipo Dodoma, wafanyakazi wote wa ofisi ya Rais kwa sasa wanamakazi Dodoma, je anapoenda Chato gharama za malazi, chakula na fedha ya kujikimu nani analipia?

Gharama za kusafirisha polisi, wanajeshi na wafanyakazi wote wanaoambatana nae kwenda Chato nani analipia?

Tunakazana sana kulipa kodi kizalendo basi matumizi ya kodi zetu nayo yawe ya kizalendo. La sivyo tutatafutana ubaya.
wee yanakuhusu nini? kaa tuliza mshono, kwahiyo wee ulitaka ajifungie ikulu tuu asiende kwao?
wee ukiambiwa ufanye kazi tuu miaka yote bila likizo au usome tuu bila likizo wala usionane na nduguzo na wazazi wako utaweza?
 
wee yanakuhusu nini? kaa tuliza mshono, kwahiyo wee ulitaka ajifungie ikulu tuu asiende kwao?
wee ukiambiwa ufanye kazi tuu miaka yote bila likizo au usome tuu bila likizo wala usionane na nduguzo na wazazi wako utaweza?

Nitulize mshono wakati ni hela zangu nyie wakwepa kodi vipi?
 
Back
Top Bottom