Tena mada za kitoto!Mada zimekuwa nyingi balaa!
Kupita kipindi hiki mkuu salama inawezekana ni kwa sababu Watanzania ni waoga/hawapendi vurugu.Salaam,
Ramadhan Maqbul.
Wanajamvi naomba kuongea haya na labda kuibua hoja. Kama nilivyoanza kwenye kichwa cha Habari hivi Katika historia ya nchi hii ni mara ya kwanza Rais anafariki akiwa Madarakani na Kwa Mara ya kwanza tunapata Rais ambaye ni Mwanamke; hii inaashiria nini?
Kwanza kwetu limekuwa jambo geni sana, ndiyo maana uliona kunakuwa na sintofahamu nyingi! Pia kuona tunafanya transition kwa amani haikutegemewa ndiyo maana wale walioishi kwa kumtegemea mtu na siyo uwezo wao kwa sasa wametahayuri.
Pia Makamu wa Rais kuwa Rais na kujiamini ni kukomaa kwa siasa ninaona mbeleni kuna mabadiliko mengi katika medani ya siasa.
Mwisho.
Naomba utupe mawazo yako hapa.
Kazi iendelee.
Bila Shaka NEC,POLICE Waliisaidia Ni Ile Ile KushindaNi ishara kuwa ushindi ulikua ni wa Chadema 2020