Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,020
Vasco da gama wetu hoyeeeeee😀
Wooyeeeeee
Vasco da gama wetu hoyeeeeee😀
Dah huyu jamaa,,,ametunyonya sana
mhmmm ama kweli tumepatikana!!! Tuliyata wenyewe, na tunataka tena!!!!
Matumizi mabaya ya pesa ,atuonee huruma watanzania hizo pesa zingeweza kununulia dawa zikapelekwa kwenye zahanati zetu
Baada ya juzi tu kutoka Uswisi, Mheshimiwa Rais Jakaya, Jumamosi wiki hii anaanza ziara ya kuaga nchini Australia.Kuna pending issues za Simba Trust za kumalizia.
Chanzo: Ndani ya Ikulu
Nakataa kuamini kama hii habari ni ya kweli. Kama ni kweli basi kuna tatizo.Baada ya juzi tu kutoka Uswisi, Mheshimiwa Rais Jakaya, Jumamosi wiki hii anaanza ziara ya kuaga nchini Australia.
Chanzo: Ndani ya Ikulu
Kama Rais wa nchi hizi ni stahiki zake na juu yake binafsi kupima kipaumbele katika nchi yake.Huyu alipaswa kuwa Kondakta au Dereva
So jamaa yupo MSOGA???wewe ni kajanja kazini.
tatizo lako unaleta taarika kiushabiki kuliko uhalisia kama ulivyoleta ile ya uswisi.