Rais Kikwete ziarani Australia

Rais Kikwete ziarani Australia

Ooohooooo mkwere,paa ndugu paa!Za mwisho mwisho hizi
 
Hivi hizi safari za kuaga anazojipangia zina posho?
 
Punguwani mkubw wewe..kama huna cha kuongea kaa kimya..JK anaondoka usiku wa leo kwenda australia kupitia Dubai huelewi nini sasa...
unaelewa nilichokiandika? soma tena nilichoandika. sijasema kuwa hasafiri, unakurupuka tu. tatizo lako na hao mbwa wenzako hamfikirii kabla ya kupost.
 
Baada ya juzi tu kutoka Uswisi, Mheshimiwa Rais Jakaya, Jumamosi wiki hii anaanza ziara ya kuaga nchini Australia.

Chanzo: Ndani ya Ikulu

Na wasiwasi hata siku na tarehe ya kukabidhi Ofisi Kikatiba atakuwa Ulaya.Sijui inakuwa safari ya ngapi vile? .Hesabu ni muhimu sana kwa minajili ya Kuweka kumbukumbu.

 
mmesahau iptl ya australia ambayo wamiliki na mke yumo...anaenda kufanya ANNUAL GENERAL MEETING.
 
Kwanini wasimjengee na ikulu yake huko huko nje?Anaweza tu kuitawala nchi kupitia simu na tv,hii ingesaidia kupunguza gharama za kupaa angani kila siku.
 
OK! Mheshimiwa anaelekea sehemu mbali duniani. tumealikwa au tunabadilisha shilingi afike huko?
 
Back
Top Bottom