Rais Kikwete ziarani Australia

Rais Kikwete ziarani Australia

Matumizi mabaya ya pesa ,atuonee huruma watanzania hizo pesa zingeweza kununulia dawa zikapelekwa kwenye zahanati zetu

Unasema kupeleka dawa Zahanati wakati Hospitali kibao za Wilaya hazina hata Panadol!!
 
Hivi raisi wetu mh.dr Jakaya Kikwete amewahi kutembelea nchi takatifu ya Israel na kuonana na viongozi wakuu wa nchi hiyo? Nakumbuka mh.Mbowe aliwahi kutembelea Israel wakati fulani,mwenye taarifa anisaidie
 
Kwa nini asikae huko huko hadi novemba siku ya kuapishwa rais mpya wa Ukawa aje kumkabidhi nchi.

Amkabidhie huko huko.Yaani huku asirudi kabisaaaaaaaaaaaaaaaa.Marupurupu yake atayapatia hukohuko..:doh:
 
Na naskia yeye ndiye anayeongoza kupokea mshahara mkubwa zaidi kati ya marais wote wa Afrika Mashariki! Long live vasco da gamma!
 
Kupe, ubeberu, nakadhalika...ni maneno yaliyotumika sana kuelezea kero za unyonyaji waliokuwa wakifanyiwa waafrika.
 
Baada ya juzi tu kutoka Uswisi, Mheshimiwa Rais Jakaya, Jumamosi wiki hii anaanza ziara ya kuaga nchini Australia.

Chanzo: Ndani ya Ikulu

Manyerere Jackton utakua umeachwa kwenye safari hizi ndo maana umeruka na uzi huu!! Ha ha ha ha Gazeti la Jamhuri kaenda nani?waandishi makanjanja mna mbwembwe!
 
Nishachoka kumuombea asafiri salama,sijui kwa nini huwa hapandi mindege ya Malaysia?
 
Yani huyu rais amekunya nchi za watu hadi vyoo vyao vimejaa lakini haachi kwenda, wamekuchoka waache na wao wapumue loooooo
 
Hahahahahahhahahahahahahahahahhha huyu jamaa kamchoka rais kupitiliza

Kama wewe bado nitakushangaa.

Hivi unajua trip yake moja tunapata Dispensary na lab za maana tu!Halafu anakuja na vyandarua na misaada yenyewe inaishia kumlipa DSA/Perdiem za kwendea huko huko ,sijaona bado umuhimu wa hizo safari.
 
wewe ni kajanja kazini.
tatizo lako unaleta taarika kiushabiki kuliko uhalisia kama ulivyoleta ile ya uswisi.

Punguwani mkubw wewe..kama huna cha kuongea kaa kimya..JK anaondoka usiku wa leo kwenda australia kupitia Dubai huelewi nini sasa...
 
Back
Top Bottom