MKUU FUNGUKA KIDOGO JUU YA HAO WAWILI WALIORUDI KWA BWANA MUNGU,itusaidie kuconect dots vizuri
asa c juz 2 alkuwa anatembea arusha mapumzikoni tena kapumzka ,au ushauri wa daktar
MKUU FUNGUKA KIDOGO JUU YA HAO WAWILI WALIORUDI KWA BWANA MUNGU,itusaidie kuconect dots vizuri
Juzi nimemuona mutoto wa mwarabu mwenye vitalu akikatiza arusha kwenda kule..tegemea akina MONG'O kuhamishwa tena.
Wee inafanya nn jf saa hizi na huu ni muda wa kazi mnafiki utamjua tu. Umemaliza kazi? Au unasema wenzio tu?yaani watanzania watu wa ajabu sana baada ya kufuatilia maisha yako magumu uyatatue unafuatilia maisha ya kikwete ambayo hadi kufa kwako hutayapata wala kuyakaribia . muda huo wa kufuatilia maisha ya kikwete kwa nini usiutumie kutafuta hela ndio maana mnakufa masikini. sasa ameenda kupunzika je wewe inakuhusu? au ulitaka asipunzike?
Wee inafanya nn jf saa hizi na huu ni muda wa kazi mnafiki utamjua tu. Umemaliza kazi? Au unasema wenzio tu?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
yaani watanzania watu wa ajabu sana baada ya kufuatilia maisha yako magumu uyatatue unafuatilia maisha ya kikwete ambayo hadi kufa kwako hutayapata wala kuyakaribia . muda huo wa kufuatilia maisha ya kikwete kwa nini usiutumie kutafuta hela ndio maana mnakufa masikini. sasa ameenda kupunzika je wewe inakuhusu? au ulitaka asipunzike?
yaani watanzania watu wa ajabu sana baada ya kufuatilia maisha yako magumu uyatatue unafuatilia maisha ya kikwete ambayo hadi kufa kwako hutayapata wala kuyakaribia . muda huo wa kufuatilia maisha ya kikwete kwa nini usiutumie kutafuta hela ndio maana mnakufa masikini. sasa ameenda kupunzika je wewe inakuhusu? au ulitaka asipunzike?
Kama ni kweli basi atakua amekwenda kupunguza Stress za waislamu wenzake kumgomea sensa!
MKUU FUNGUKA KIDOGO JUU YA HAO WAWILI WALIORUDI KWA BWANA MUNGU,itusaidie kuconect dots vizuri
Rais anahitaji mapumziko.Uongozi ni kazi ngumu sana kuliko tunavyofikiria wakati tunang'ang'ania na kutumia mbinu mbali mbali kuupata. Kwa vyovyote vile akili nayo inataka space ili kujipanga na kusogeza mambo mbele.
akili za mbayuwayu au za kwake zipumzike?