Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Mwaka jana Akili zako changanya na za mbayuwayu,Mwaka huu Akili zajo changanya na za Kunguru.
Mwaka jana Akili zako changanya na za mbayuwayu,Mwaka huu Akili zajo changanya na za Kunguru.
Mkuu Balantanda, tafadhari fafanua ustaarabu naopaswa kuwa nao! Hoja hapo ni Je rais atasema nin? Kumbuka mwaka jana hakualikwa!
Mgaya kweli leo umesaliti kambi yetu sie ambao kura zetu zilikuwa hazitakiwi?
Au leo umeenda front line kurusha makombora?
Jihadhari unaweza ukawa umeenda na makombora yako halafu ukajikuta Kikwete anakupa bunda la maua ridi na wewe unampa silaha yako kwa amani bila madhara. Baadae akaitumia silaha yako mwenyewe kukuangamiza.
Mgaya kweli leo umesaliti kambi yetu sie ambao kura zetu zilikuwa hazitakiwi?
Au leo umeenda front line kurusha makombora?
Jihadhari unaweza ukawa umeenda na makombora yako halafu ukajikuta Kikwete anakupa bunda la maua ridi na wewe unampa silaha yako kwa amani bila madhara. Baadae akaitumia silaha yako mwenyewe kukuangamiza.
Wakuu siku hizi mshahara hautangazwi kwenye hotuba ya rais!
Nami nimemsikia. Amekamua vizuri tu mbele ya kikwete, si mnamjua Mgaya? Suala la ukubwa wa kodi ameliongelea. Nasubiri nisikie kikwete atasemaje pamoja na ongezeko la mishahara.