natabiri ajenda muhimu itakuwa ni mgomo wa madaktari na hasa kujaribu kuwakalipia kama ilivyokuwa kwa wafanyakazi wakati uleeeee.. tuvute subira!! lakini hili la madaktari halikwepeki. na nionavyo mazungumzo kwa kutumia wazee wa dar ni ishara tosha kuwa hayupo katika kutafuta suluhisho na madaktari (kwa kutekeleza yale yatakwayo na ma Dr), maana kama angetaka suluhisho tungesikia anakutana na madaktari si wazee.