Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Bado anaomboleza
Walinzi wake wasio onekana wamemkimbia baada ya mmiliki wake kuondoka, hilo moja!
Pili, kwani zile speech za kwenye semina elekezi alikuwa anahutubia Taifa? Huu sasa usanii.
Tatu naona ameishiwa hoja anasubiri kituko kingine kitokee ndo apate point za kuzungumza!