Hapa inathibitisha kwamba misemo yote ya wahenga ilibeba maana nzito kuliko inavyoweza kuonekana kwa nje. Nyerere alimkataa kikwete na lowasa mchana kweupe kwamba hawafai kuwa maraisi. Kwa ujinga watanzania hasa wasukuma wa pumbavu na waatu wa kanda ya ziwa, wakajazana kwenye treni kwenda dodoma wakiwa na misimamo ya kumpa kikwete.
Kikwete ambaye hata report ya kamati ya nidhamu haikuwekwa hadharani, akapewa Tanzania, pamoja na Mwalimu kuwa amemkataa!. Sasa mnayaona haya? Raisi eti hana jinsi.. Si wehu huu? "Mdharau mwiba humchoma", na "asiyesikia la mkuu huvunjika guu"... Tanzania sasa mnaiona ilipo????
Lakini bado dawa iko mikononi mwa Watanzania. Katiba hii haijapitishwa bado. . Tuungane na Askofu Ngalalekumtwa, na waislam wa Shura ya maimamu, Ukawa na Wananci wote wasio maccm, tupige kura ya hapana kwa kili katiba nyang'au na kuiondoa ccm madarakani bila mizaha.
Ujinga huu wa akina chenge, sita, na unafiki wa jk, huku watanzania tukiteketea, hauwezi kuachwa ili taifa liangamie.