Rais Kikwete 'hakuwa na jinsi'

Rais Kikwete 'hakuwa na jinsi'

Hapa inathibitisha kwamba misemo yote ya wahenga ilibeba maana nzito kuliko inavyoweza kuonekana kwa nje. Nyerere alimkataa kikwete na lowasa mchana kweupe kwamba hawafai kuwa maraisi. Kwa ujinga watanzania hasa wasukuma wa pumbavu na waatu wa kanda ya ziwa, wakajazana kwenye treni kwenda dodoma wakiwa na misimamo ya kumpa kikwete.

Kikwete ambaye hata report ya kamati ya nidhamu haikuwekwa hadharani, akapewa Tanzania, pamoja na Mwalimu kuwa amemkataa!. Sasa mnayaona haya? Raisi eti hana jinsi.. Si wehu huu? "Mdharau mwiba humchoma", na "asiyesikia la mkuu huvunjika guu"... Tanzania sasa mnaiona ilipo????

Lakini bado dawa iko mikononi mwa Watanzania. Katiba hii haijapitishwa bado. . Tuungane na Askofu Ngalalekumtwa, na waislam wa Shura ya maimamu, Ukawa na Wananci wote wasio maccm, tupige kura ya hapana kwa kili katiba nyang'au na kuiondoa ccm madarakani bila mizaha.

Ujinga huu wa akina chenge, sita, na unafiki wa jk, huku watanzania tukiteketea, hauwezi kuachwa ili taifa liangamie.
Na bado mwakani tunampa mzee lowasa chezea wa Tz
 
Ungeandika tu "Demokrasia ya vyama vingi yamfia Rais JK"
 
Jana ilimpasa kuhudhuria,kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na kuhutubu vile. Mh. Rais,kwa sauti na namna wananchi walivyokuwa kimya muda mwingi,hakuridhishwa na mchakato na mambo fulani kutokuwepo kwenye Katiba inayopendekezwa.

Rais alionesha dhahiri kutoufurahia mchakato kwa kumwaga misemo na rai za mara kwa mara juu ya kila jambo kuwa na muda wake na kadhalika. Akadokeza na mkutano wake na TCD bila ya kupunguza kilichoripotiwa.

Rais akagusa akidi. Takwimu ikatolewa. Akaithibitisha akidi. Hakuwa na jinsi. Rais amepokea kilicho tayari. Kisingeweza kubadilishwa Jamhuri Dodoma.

Pamoja na kauli mbalimbali za jana,waelewa wamejua kuwa Rais hakufurahia mchakato. Hata kura ya maoni amesita kuitamka moja kwa moja. Mh. Rais alikuwa pale kupokea tu. Hakuwa na nafasi ya kusema au kufanya vinginevyo. Hakuwa na jinsi.

Wananchi wanauliza,mbona wawakilishi wote wa jana ni 'wetu' kama chama tawala?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Kama angehutubia hivi wakati wa ufunguzi tungemuelewa,otherwise,ni Mnafiq period
 
yaani speech nzima jk kashindwa hata kumpongeza warioba kama yeye kinafki............?
 
Hivi maraisi wastaafu walihudhuria sherehe zile?
niliangalia TBC kwa muda fulani tu na katika muda huo sikuwaona! pia mabalozi wa marekani na uingereza hawakuwepo, aliwatambua, nafikiri wa Yemen na Oman.
 
Jana ilimpasa kuhudhuria,kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na kuhutubu vile. Mh. Rais,kwa sauti na namna wananchi walivyokuwa kimya muda mwingi,hakuridhishwa na mchakato na mambo fulani kutokuwepo kwenye Katiba inayopendekezwa.

Rais alionesha dhahiri kutoufurahia mchakato kwa kumwaga misemo na rai za mara kwa mara juu ya kila jambo kuwa na muda wake na kadhalika. Akadokeza na mkutano wake na TCD bila ya kupunguza kilichoripotiwa.

Rais akagusa akidi. Takwimu ikatolewa. Akaithibitisha akidi. Hakuwa na jinsi. Rais amepokea kilicho tayari. Kisingeweza kubadilishwa Jamhuri Dodoma.

Pamoja na kauli mbalimbali za jana,waelewa wamejua kuwa Rais hakufurahia mchakato. Hata kura ya maoni amesita kuitamka moja kwa moja. Mh. Rais alikuwa pale kupokea tu. Hakuwa na nafasi ya kusema au kufanya vinginevyo. Hakuwa na jinsi.

Wananchi wanauliza,mbona wawakilishi wote wa jana ni 'wetu' kama chama tawala?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Kama anadhamili ya ukweli tunamuomba atupe tume huru ya ukweli si kama hiyo kanyaboya lake la Mzee LUBUVA,asipeleke Watanganyika kupiga kura Zanzibar baadaye waambie polisi wakae kama polisi jamii,atuacche watanzania tuamue NDIYO na HAPANA kwenye hiyo katiba ya SITA.Mbona itakuwa aibu kwa Mnyamwezi.Hata kama mzigo mzito mpe mnyamwezi,mnyamwezi mwenzangu huu mzigo hajaufikisha salama umemzidi nguvu,mwingine kaumwaga njiani.TUPE HAKI YETU TUAMUE kama kweli katiba pandikizi inakubalika.Hivi hamuoni aibu tunavyoachwa na Wenzetu si oni aibu kutamuka hakuna katiba bora kwa Afrika Mashariki kwa sasa kama Kenya.Angalia ungatuzi,madaraka ya Rais.Hata tume huru ni ya ukweli.SITA tulitaka nasi tutoke huko jamani
 
Jana ilimpasa kuhudhuria,kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na kuhutubu vile. Mh. Rais,kwa sauti na namna wananchi walivyokuwa kimya muda mwingi,hakuridhishwa na mchakato na mambo fulani kutokuwepo kwenye Katiba inayopendekezwa.

Rais alionesha dhahiri kutoufurahia mchakato kwa kumwaga misemo na rai za mara kwa mara juu ya kila jambo kuwa na muda wake na kadhalika. Akadokeza na mkutano wake na TCD bila ya kupunguza kilichoripotiwa.

Rais akagusa akidi. Takwimu ikatolewa. Akaithibitisha akidi. Hakuwa na jinsi. Rais amepokea kilicho tayari. Kisingeweza kubadilishwa Jamhuri Dodoma.

Pamoja na kauli mbalimbali za jana,waelewa wamejua kuwa Rais hakufurahia mchakato. Hata kura ya maoni amesita kuitamka moja kwa moja. Mh. Rais alikuwa pale kupokea tu. Hakuwa na nafasi ya kusema au kufanya vinginevyo. Hakuwa na jinsi.

Wananchi wanauliza,mbona wawakilishi wote wa jana ni 'wetu' kama chama tawala?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mzee Tupatupa. Rais Kiwete anasifa au tabia ya unafiki ??? Hivi alivoanza kuiponda rasimu ya Warioba kule BMK alitegemea nini???
 
Hakuwa na jinsi wakati alikuwa anajua kila kinachoendelea BMK?? Aache unafki.
 
Viacheni vyote vikue siku ya mavuno ndipo kile kilicho bora kitawekwa ghalani na kisicho faa kuchomwa moto, tumshilikishe mungu kwa kila jambo ila CCM mko ukingoni mda utaamua
 
JK ni mnaffiki sana na jana alionekana waziwazi nia yake ilivyokuwa, nitashangaa sana kuona ikiwa Ukawa au chama cha upinzani chochote nchini kumtaka jk atatue jambo fulani. ccm waache kama walivyo mapambano ni muhimu kila kukicha hawa ccm lao 1. nilichogundua kwa ccm mtu hawezi kuwa rais kama hajaweka saini ya kukubali kupelekwa pelekwa na makada maalum walio katika chama.

JK ni kigezo tosha kabisa, ni rais mwoga, ni rais legelege asiyekuwa akijiamini muda wote, hakuonyesha hata siku moja kwamba yeye ni rais na ana mamlaka ya kukemea jambo fulani au kutoa uamuzi fulani kama rais pale taifa linapokuwa katika majanga na matatizo kwa mfano mzuri ni hii katiba mpya, yaani utashangaa bado anasimama kwenye jukwaa na kuchekacheka eti katiba imeridhiwa ovyo kabisa
 
Katiba ikipigiwa kura itapita utake usitake. CCM utawazidi kwa hoja lakini huwezi kuwazidi katika mbinu za wizi wa Kura.

hivyo Raisi aendelee na msimamo wake kuwa Katiba iwe mwaka 2016. Na Raisi ahakikishe ana usemi wa nani atamridhi kiti chake. hawa wanaomdharau wasiwe wamemshamyang'anya hata maradara ya kumuandaa mrithi
Sory mkuu-Sasa kama Rais ajaye anaandaliwa na Rais anaandaliwa na Rais anayeondoka madarakani sasa uchaguzi tunafanya wa nn?I'm confused nisaidie
 
Nalipa kodi kulipia ujinga ule??? nauliza jamani, nifanye nini wasikate kodi kwenye mapato yangu??
 
Back
Top Bottom