Rais Kikwete azindua rasmi kampeni-Longido

Technician

JF-Expert Member
Mar 30, 2010
841
222
Hatimaye Mtukufu Rais Dk Jakaya Mrisho Kikwete amefungua rasmi kampeni za uchaguzi mdogo kule arumeru safari hii akianzia jirani na baadaye kumalizia penyewe kama alivyofanya kule Igunga kwa kutoa chakula kwa wale walioachwa na njaa kwa muda mrefu na hatimaye wananchi wakaona hakuna kama ccm hawa chadema wanapiga kelele tuu hawaleti chakula wala ngombe kama mkulu.

Sasa wananchi wamegundua ili kutatua matatizo ya barabara na miundo mbinu nyingi vijijini ni kulazimisha chaguzi ndogondogo ndio suluhisho la matatizo.

Nawasilisha.

Hint:MPENDE ADUI YAKO.
 
Acha kupotosha watu bwana mimi hapa nipo Namanga ambapo ni mpakani mwa Tz na Kenya na ndo wilayani Longido, Mwaka 2010 wakati Kikwete anapiga kampeni nakumbuka kulikuwa na ukame sana hapa wilayani longido uliosababisha ng'ombe wengi kufa, ili kubeba kura za wamasai kiurahisi kikwete aliwaahidi kuwaletea ng'ombe ili kuliplace waliokufa kwa ukame, na jana ndo alikuja kugawa ng'ombe kwa jamii ya kimasai zilizoaslika na ukame wa mwaka 2010.

Na nashangaa umeihusishaje hii ziara ya kugawa ng'ombe na kampeni za Arumeru au ndo kutafuta cheap popularity zisizo na maana yeyote hapa. Kajipange upya
 
Acha kupotosha watu bwana mimi hapa nipo Namanga ambapo ni mpakani mwa Tz na Kenya na ndo wilayani Longido, Mwaka 2010 wakati Kikwete anapiga kampeni nakumbuka kulikuwa na ukame sana hapa wilayani longido uliosababisha ng'ombe wengi kufa, ili kubeba kura za wamasai kiurahisi kikwete aliwaahidi kuwaletea ng'ombe ili kuliplace waliokufa kwa ukame, na jana ndo alikuja kugawa ng'ombe kwa jamii ya kimasai zilizoaslika na ukame wa mwaka 2010.

Na nashangaa umeihusishaje hii ziara ya kugawa ng'ombe na kampeni za Arumeru au ndo kutafuta cheap popularity zisizo na maana yeyote hapa. Kajipange upya
Dhu, yaani Rais anasafiri toka Dar mpaka Longido kwenda kukabidi ng'ombe halafu bado kuna mtu anayejidai GT anamtetea?? Wakati madaktari wakigoma anaenda Davos!!
 
Na bado...anagaaa gaaa..Wana Arumeru kwani wanataka wapewe nini kwa sasa ili walainike...?Slaa na yeye ataenda na operation Sangara
 
Habari yako inaelekea hujafikiria kabla ya kuleta kutudanganya yaani umekurupuka
 
na huo ndio ukweli mkuu acha ubishi ameenda kuzindua kampeni rasmi kwani madaktari waligoma hapa week tatu watu walikufa mbona alikuwa kimya hivi huu ndio muda wa kugawa ngombe alizoahidi kwenye uchaguzi alikuwa anasubiri nini? au alijua sumari atakufa,watanzania wameamka na wapo makini na wala hapo sio igunga hilo wajue.
 
Huyu raisi na wasiwasi nae kama anajua anachokifanya sasa hiyo kazi si ingefanywa hata na mwenyekiti wa Serikali za mitaa?? mbona hajui majukumu yake? migogoro na migomo ya madaktari, waalimu anaikimbia na kuikwepa lakini mambo ambayo sio saizi yake anayavalia kibwaya
 
hana lolote huyo! Hawa wamasai nao ni mabwege tu! Imagine kawaita masai ng'ombe wakashangilia ka nini! '' nyie wamasai ni ng'ombe,bila ng'ombe hakuna wamasai''
 
wewe unawashwa na nini.kwa nini unatoa taarifa kwa kuipotosha????????unalipwa kiasi gani kwa ukibaraka wako huo?sote tunafuatilia habari kuptia vyombo mbalimbali vya habari.ukweli wa shughuli aliyofanya rais sio hivi unavodanya wewe...kajipange upya.
 
Hatimaye Mtukufu Rais Dk Jakaya Mrisho Kikwete amefungua rasmi kampeni
za uchaguzi mdogo kule arumeru safari hii akianzia jirani na baadaye kumalizia
penyewe kama alivyofanya kule Igunga kwa kutoa chakula kwa wale walioachwa na
njaa kwa muda mrefu na hatimaye wananchi wakaona hakuna kama ccm hawa
chadema wanapiga kelele tuu hawaleti chakula wala ngombe kama mkulu.

Sasa wananchi wamegundua ili kutatua matatizo ya barabara na miundo mbinu
nyingi vijijini ni kulazimisha chaguzi ndogondogo ndio suluhisho la matatizo
.
Nawasilisha.


Hint:MPENDE ADUI YAKO.
aisee wabunge wa majimbo ya pembezoni mwa Tanzania hasa wa CCM kaeni chonjo; operation wamalizeni imeingia; mmoja mmoja hadi kufikia 2015 chaguzi ndogo kama 50 hivi.

Who is next.... (suluhisho la matatizo). :lol:
 
Dhu, yaani Rais anasafiri toka Dar mpaka Longido kwenda kukabidi ng'ombe halafu bado kuna mtu anayejidai GT anamtetea?? Wakati madaktari wakigoma anaenda Davos!!

Muulize Mmasai ni yupi bora kati ya Daktari na Ng'ombe.

Kikwete jibu analijua kisha ishi sana Monduli na Wamasai.
 
Hizo ndio Kazi anazoweza Mh.Jakaya Kikwete kuuza sura tuu,nq'ombe wenyewe aliowagawa jana wamekonda mbavu zinaonekana,Igunga waliipata baada ya uchaguzi hakuna mgao wa chakula tena ,Daraja muulizeni maghufuli limejengwa si alisema uchaguzi ukiisha tuu wataanza kujenga watanzania watu wa hovyo sana wanadanganywa na peremende

Haya Catherine magige naye ameenda kuhonga wanawake Arumeru nzima halafu anawadhulumu hata wale walimsindikiza kwenye mchezo huo

kampeni hata za 2015 wameshazianza vyama vingine wametulia tuu

Gharib Bilal kutwa yuko sehemu mbalimbali nchini ukiona waliopo kwenye mikutano yao ni vilemba na mashati ya kijani

Aggrey Mwanri yeye anawazubaisha wananchi kwa kuwaonyesha kama wanatekeleza mippango ya serikali ukweli ni kampeni wanafanya,janja yao inajulikana
 
Cost waliyoingia kwenye kutengeneza hilo banda la chuma la kugawia ng'ombe ni Sh ngapi?
hazitoshi Ng'ombe 20 kweli hapo?

Je, cost ya Mkwerre kwenda Longodo ni sh ngapi? mkuu wa mkoa asingeweza kugawa hizo ng'ombe?

kwangu mimi, this is anther clown play!
we are doomed, this circus will never end unless we get rid of this political gang!!! you know what i mean!!!
 
Miaka mitano imepita,si angekwenda Kuwasaidia wezi wa ardhi yao walipovamia loliondo na kuanza kuchoma maboma yao,si ardhi alisaini huyo kuwapa waarabu wa zein we vipi bwana huyo keshaanza kampeni
Biggie says thank you for this useful post!!!

Eti mkuu wa nchi anagawa ng'ombe!!!
my foot!!!
 
Kwa nini Rais Kikwete anaendelea kujishushia hadhi kisi hiki na kuendeleza ufujaji wa rasimali ya umma kufunga safari na msafara wake yenye gharama ya zaidi ya Tshs 20,000,000/- ikiwa ni pamoja na POSHO anazojilipa eti kwa kwenda KUGAWA MBUZI Longido?????????

Na ni kwa nini Rais Kikwete akaendelee kutumia rasilmali zetu tulizoweka mkononi mwake KISERIKALI akazitumie kwenda Arusha kutekeleza AHADI ZA KISIASA alizozitoa kwa niaba na faida ya chama siasa kimojawapo nchini kinaachoitwa CCM?????????


Huyu raisi na wasiwasi nae kama anajua anachokifanya sasa hiyo kazi si ingefanywa hata na mwenyekiti wa Serikali za mitaa??

Mbona hajui majukumu yake? migogoro na migomo ya madaktari, waalimu anaikimbia na kuikwepa lakini mambo ambayo sio saizi yake anayavalia kibwaya
 
Hizo ndio Kazi anazoweza Mh.Jakaya Kikwete kuuza sura tuu,nq'ombe wenyewe aliowagawa jana wamekonda mbavu zinaonekana,Igunga waliipata baada ya uchaguzi hakuna mgao wa chakula tena ,Daraja muulizeni maghufuli limejengwa si alisema uchaguzi ukiisha tuu wataanza kujenga watanzania watu wa hovyo sana wanadanganywa na peremende

Haya Catherine magige naye ameenda kuhonga wanawake Arumeru nzima halafu anawadhulumu hata wale walimsindikiza kwenye mchezo huo

kampeni hata za 2015 wameshazianza vyama vingine wametulia tuu

Gharib Bilal kutwa yuko sehemu mbalimbali nchini ukiona waliopo kwenye mikutano yao ni vilemba na mashati ya kijani

Aggrey Mwanri yeye anawazubaisha wananchi kwa kuwaonyesha kama wanatekeleza mippango ya serikali ukweli ni kampeni wanafanya,janja yao inajulikana
Halafu hii tabia ya kugawa fedha na kutoa misaada hii??? pambafu kabisa,
Sisi tunawataka wakaisimamie serikali itekeleze wajibu wake wa kuwahudumia wananchi.
Wao wakishapewa mikopo, wanasema ndiyooo bungeni, then wanaacha serikali inafanya madudu, wao wanakimbilia majimboni kutoa zawadi na misaada ya ifuko ya cemnet.

This is bullshit in its original sense of the word.
 
Hizo ndio Kazi anazoweza Mh.Jakaya Kikwete kuuza sura tuu,nq'ombe wenyewe aliowagawa jana wamekonda mbavu zinaonekana,Igunga waliipata baada ya uchaguzi hakuna mgao wa chakula tena ,Daraja muulizeni maghufuli limejengwa si alisema uchaguzi ukiisha tuu wataanza kujenga watanzania watu wa hovyo sana wanadanganywa na peremende

Haya Catherine magige naye ameenda kuhonga wanawake Arumeru nzima halafu anawadhulumu hata wale walimsindikiza kwenye mchezo huo

kampeni hata za 2015 wameshazianza vyama vingine wametulia tuu

Gharib Bilal kutwa yuko sehemu mbalimbali nchini ukiona waliopo kwenye mikutano yao ni vilemba na mashati ya kijani

Aggrey Mwanri yeye anawazubaisha wananchi kwa kuwaonyesha kama wanatekeleza mippango ya serikali ukweli ni kampeni wanafanya,janja yao inajulikana
Halafu hii tabia ya kugawa fedha na kutoa misaada hii??? pambafu kabisa,
Sisi tunawataka wakaisimamie serikali itekeleze wajibu wake wa kuwahudumia wananchi.
Wao wakishapewa mikopo, wanasema ndiyooo bungeni, then wanaacha serikali inafanya madudu, wao wanakimbilia majimboni kutoa zawadi na misaada ya ifuko ya cemnet.

This is bullshit in its original sense of the word.
 
Back
Top Bottom