Hospitali ya serikali Mwananyamala.Huo ni upeo wako wa kufikiri. Kwahiyo Rais wa nchi nafsi yako ingeridhika angetibiwa wapi.
Hospitali ya serikali Mwananyamala.Huo ni upeo wako wa kufikiri. Kwahiyo Rais wa nchi nafsi yako ingeridhika angetibiwa wapi.
Rais wa watu wapumbafu wa Tanzania
Kikwete ni Rais wa WATU...
yeye mbona ameenda kutibiwa usa?
Kwa sababu ana uwezo...
Ni wazi ni rais wa watu wewe ulitaka awe rais wa kitu gani? Nadhaniu ulitaka kusema ni mtu wa watu!Kikwete ni Rais wa WATU...
Ni wazi ni rais wa watu wewe ulitaka awe rais wa kitu gani? Nadhaniu ulitaka kusema ni mtu wa watu!