Rais kikwete atembelea wagonjwa muhimbili

Rais kikwete atembelea wagonjwa muhimbili

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtoto Andrew Simba(15) aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati Rais alipowatembelea na kuwafariji baadhi ya wagonjwa katika wodi ya Mwaisela leo.
ImageUploadedByJamiiForums1388173925.335046.jpg
 
Nimeipenda hiyo Mkuu!!! That's how to lead by example.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Niliwahi kuambiwa kuwa ukiwa nervous na safari ya kurudi home... Cheza karata ili kuondoa tension.
 
.......but somehing may be wrong here....yaaani ndo kwanza kashuka airport from America kuchunguzwa AFYA yake then akapitiliza moja kwa moja kucheki wenzetu wasio na uwezo wa kwenda America kutibiwa..... sijapata jibu
 
Kawapelekea dawa au kaenda kupiga nao picha ili kesho atoke katika gazeti la Uhuru na Jamba leo. Safari kibao za Marekani halafu wagonjwa wanalala chini. Hospital ya taifa haina dawa ukiumwa malaria unapewa panado. Gharama za safari moja ya rais kwenda Marekani angenunua vitanda vingapi vya wagonjwa, dawa na vifaa tiba vingapi. Sio watu wote ni wajinga kwa anayoyafanya.
 
Kikwete ni Rais wa WATU...
Rais wa mazezeta. Akibuni kodi ya sim card, mazezeta kimya, kupanda kwa gharama za umeme; mazezeta yako kimya; kuongeza bei ya maji; mazezeta kimya; polisi kupiga raia bila kosa la msingi; mazezeta kimya; mitaala feki ya elimu-division 5; mazezeta kimya; gesi kutoka Mtwara hadi China; mazezeta yako kimya. Hata boga linaweza kutawala Tanganyika.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Matokeo mabaya ya O'level mazezeta kimya, Hospitali kuwa katika hali mbaya, kukosa vifaa muhimu na madawa mazezeta KIMYAAA!!!!

Rais wa mazezeta. Akibuni kodi ya sim card, mazezeta kimya, kupanda kwa gharama za umeme; mazezeta yako kimya; kuongeza bei ya maji; mazezeta kimya.
 
Ni jambo jema sana kuwajulia hali wagonjwa hata misahafu inatufundisha hivyo. Ila nimemuona mh tangu airport hana peace of mind.
 
Angekuwa anawajali angewabeba kwenda nao Marekani kwenye matibabu ya uhakika. Yeye kakimbia hospitali zetu kwa kujua ni bomu.

Huyu mzee anakejeli sana watu..yaani yeye katoka kutibiwa marekani halafu eti kaenda mwaisela...si dhihaka hii
 
Angekuwa anawajali angewabeba kwenda nao Marekani kwenye matibabu ya uhakika. Yeye kakimbia hospitali zetu kwa kujua ni bomu.

Najuta kuwa na rais wa nchi ana akili nyembamba hivi....hivi hata huwa anafikiriaga huyu haya mambo au anakurupuka tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom